YANGA SC leo imefanya mauaji baada ya
kuishushia kipondo cha bao 5- 0 Tanzania
Prisons kwenye mechi ya Ligi Kuu Bara
iliyopigwa Uwanja wa Taifa jijini Dar es
Salaam . Mabao ya Yanga yamewekwa kimiani
na
Emmanuel Okwi dakika ya 20, Mrisho Ngassa
dakika ya 37, Hamis Kiiza aliyetupia mawili
dakika ya 68 na 88 pamoja na Nadir Haroub
'Cannavaro ' dakika ya 78.
No comments:
Post a Comment