LIGI HIYO ITAMALIZIKA APRIL 19 BADALA YA APRIL
27 mwaka huu.
Yanga itacheza na Prisons (Uwanja wa Taifa) Machi
26 mwaka huu katika mechi ya raundi ya 17 wakati
Machi 19 mwaka huu kwenye uwanja huo huo ni
Yanga na Azam.
Machi 15 mwaka huu kutakuwa na mechi mbili;
Azam na Coastal (Azam Complex), na Mtibwa Sugar
itacheza na Yanga (Jamhuri).
Mgambo na Azam zitacheza Machi 26 mwaka huu
Mkwakwani, na Aprili 9 mwaka huu Yanga itaialika
Kagera Sugar (Taifa).
Raundi ya 22 itaanza Machi 22 mwaka huu kwa
mechi kati ya Kagera vs Prisons (Kaitaba),
JKT Ruvu vs Mbeya City (Azam Complex),
Rhino vs Yanga (Ali Hassan Mwinyi).
Machi 23 mwaka huu ni Simba vs Coastal (Taifa),
Mgambo vs Mtibwa (Mkwakwani),
Ruvu Shooting vs Ashanti (Mabatini)
Azam vs Oljoro (Azam Complex).
Machi 29 mwaka huu itaanza raundi ya 23 kwa
mechi kati ya Ashanti vs Oljoro (Azam Complex)
wakati Machi 30 ni Mbeya City vs Prisons (Sokoine),
Kagera vs Ruvu Shooting (Kaitaba),
Mtibwa vs Coastal (Manungu),
JKT Ruvu vs Rhino (Azam Complex),
Azam vs Simba (Taifa),
Mgambo vs Yanga (Mkwakwani).
Raundi ya 24 inaanza Aprili 5 mwaka huu kwa
Kagera vs Simba (Kaitaba),
Ashanti vs Mbeya City (Azam Complex).
Aprili 6 mwaka huu ni Coastal vs Mgambo
(Mkwakwani),
Oljoro vs Prisons (Sheikh Kaluta Amri Abeid),
Rhino vs Mtibwa (Ali Hassan Mwinyi),
Ruvu Shooting vs Azam (Mabatini)
Yanga vs JKT Ruvu (Taifa).
Aprili 12 mwaka huu inaanza raundi ya 25 kwa
Mtibwa vs Ruvu Shooting (Mabatini),
Coastal vs JKT Ruvu (Mkwakwani),
Prisons vs Rhino (Sokoine).
Aprili 13 mwaka huu ni Mgambo vs Kagera
(Mkwakwani),
Simba vs Ashanti (Taifa),
Mbeya City vs Azam (Sokoine)
Oljoro vs Yanga (Sheikh Kaluta Amri Abeid).
Raundi ya 26 ni Aprili 19 mwaka huu kwa Rhino vs
Ruvu Shooting (Ali Hassan Mwinyi),
Mbeya City vs Mgambo (Sokoine),
Prisons vs Ashanti (Jamhuri, Morogoro),
JKT Ruvu vs Azam (Azam Complex),
Oljoro vs Mtibwa (Sheikh Kaluta Amri Abeid),
Coastal vs Kagera (Mkwakwani) na Yanga vs Simba
(Taifa).
Tuesday, March 11, 2014
MABADILIKO YA RATIBA LIGI KUU YA VODACOM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment