Saturday, March 8, 2014

CHELSEA NI NOMAAAAAAAA .....

Chelsea imeendeleza ubabe na kuendelea kubaki kileleni baada ya kuifunga tottenham hotspur magoli 4 bila majibu.
mabao yaliyofungwa na Eto'o 56'; Hazard 60' pen; Ba 88', 90' yalitosha kabisa kuwaweka pazuri vijana wa darajani.

No comments:

Post a Comment