Saturday, March 29, 2014

Mashabiki waizomea ndege ya bango la "The wrong one-Moyes OUT"

Dakika chache kabla ya mchezo kati ya manchester united  na Aston villa,ndege yenye bango linalohimiza Kocha Moyes si sahihi kwa United,AONDOKE,ilikaribishwa na kelele kubwa za kuizomea kutoka kwa mashabiki waliokua uwanjani hapo. Katika maojiano kabla ya mchezo huo,Moyes alipoulizwa amelichukuliaje ilo swala la bango aliwajibu "iyo pesa ni bora wangeitumia katika Darren fletcher's charity"

2 comments: