Bayern Munich wametwa taji la
Bundesliga kwa kuweka historia ya kufanya hivyo baada ya michezo 27 tu. Hiyo inafuatiaushindi wao wa 3-1 dhidi ya Berlin!
Hili ni taji lao la 24 la Bundesliga, wakicheza mechi 52 bila kufungwa na ushindi wa leo ni wa
19 mfululizo.
No comments:
Post a Comment