Bus la timu ya Young Africans lililokuwa limebeba
wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi
limepata ajali eneo na Mikese Mizani baada ya
Mabus yaliyokua yakitanua kuelekea mikoa ya
bara kuziba njia na kusababisha kutumbukia
kwenye mtaro.
No comments:
Post a Comment