Wednesday, December 31, 2014
Saturday, November 29, 2014
Arsenal vs westbrom
Full team: Martinez, Chambers, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Flamini, Ramsey, Cazorla, Welbeck, Alexis, Giroud
Subs: Macey, Gibbs, Bellerin, Rosicky, Oxlade-Chamberlain, Campbell, Podolsk
Friday, November 28, 2014
Tuesday, November 25, 2014
Huyu Kurudi tena arsenal?
Baada ya safu ya ulinzi kuwa mbovu kuna umbea kwamba yule beki wa arsenal thomas vermaleen akarudi tena kwa mkopo kuokoa jahazi letu.
Monday, November 24, 2014
Mashabiki wapoteza matumaini na wenger
Je unajua mashabiki zaid ya 87% wamepoteza matumaini na kocha baada ya vipigo vya mara kwa mara...
Ingia hapa angalia
http://www.footballfancast.com/football-news/arsenal-in-crisis-as-shocking-vote-confirms-fan-have-lost-faith-in-their-manager
Friday, June 27, 2014
mla nyama za watu uwanjani huyu hapa
ni luis suarez..
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis
Suarez amefungiwa mechi tisa na shirikisho la
kandanda duniani Fifa baada ya kupatikana na hatia
ya kumng'ta mlinzi wa timu ya Italia Giorgio Chiellini
kwenye mechi yao ya kombe la dunia nchni Brazil.
mla nyama za watu uwanjani huyu hapa
ni luis suarez..
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis
Suarez amefungiwa mechi tisa na shirikisho la
kandanda duniani Fifa baada ya kupatikana na hatia
ya kumng'ta mlinzi wa timu ya Italia Giorgio Chiellini
kwenye mechi yao ya kombe la dunia nchni Brazil.
Monday, June 23, 2014
Thursday, June 19, 2014
Tuesday, June 17, 2014
Thursday, June 12, 2014
MABOMU YARINDIMA MJI WA SAO PAULO .
Polisi katika mjini wa São Paulo nchini Brazil
wametumia mabomu ya machozi kutawanya
waandamanaji wanaopinga Kombe la Dunia, ikiwa
ni saa chache tu kabla ya michuano hiyo kuanza.
Taarifa zinasema mtu mmoja amekamatwa na
mwandishi mmoja wa CNN kujeruhiwa.
Waandamanaji wanasema wamepanga
kuandamana karibu na uwanja ambao shughuli ya
ufunguzi itafanyika.
Maandamano zaidi yamepangwa katika miji
mingine ya Brazil kupinga michuano hiyo
kuandaliwa nchini humo.
Picha za TV kutoka São Paulo zinaonesha polisi
wa kutuliza ghasia wakitumia mabomu ya
machozi na risasi za mpira karibu na uwanja wa
Corinthians.
Waandamanaji hao wamekuwa wakiimba-
wakisema "hakutakuwa na kombe hapa".
Tuesday, June 10, 2014
RATIBA KOMBE LA DUNIA (MDA NI KWA MAJIRA /MASAA YA AFRIKA MASHARIKI)
12-6-2014
23:00 Croatia v Brazil
13-6-2014
19:00 Cameroon v mexico
22:00 Holand v Spain
01:00 Chile v Australia
14-6-2014
19:00 Colombia v Greece
22:00 C.Rica v Aruguay
01:00 England v Italy
04:00 Japan v cote d voire
15-6-2014
19:00 Switzerland v Ecuador
22:00 France v Honduras
01:00 Argentina v Bosnia
16-6-2014
19:00 German v Portugal
22:00 Iran v Nigeria
01:00 Ghana V USA
17-6-2014
19:00 Belgium v Algeria
22:00 Mexico v Brazil
01:00 Rusia v Korea
18-6-2014
19:00 Holand v Australia
22:00 Chile v Spain
01:00 Cameron v Croatia
19-6-2014
19:00 Cote devir v Colombia
22:00 England v Portugal
01:00 Japan v Greece
20-6-2014
19:00 C.Rica v Italy
22:00 Switzerland v France
01:00 Ecuador v Honduras
21-6-2014
19:00 Argentina v Iran
22:00 Ghana v German
01:00 Nigeria v Bosnia
22-6-2014
19:00 Belgium v Russia
22:00 korea v Algeria
01:00 Portugal v USA
23-6-2014
19:00 Chile v Holland
19:00 Australian v Spain
23:00 Cameron v Brazil
23:00 Croatia v Mexico
24-6-2014
19:00 Italy v Greece
19:00 C.rica v England
23:00 Colombia v Japan
23:00 Greece v cote voire
25-6-2014
19:00 Argentina v Nigeria
19:00 Bosnia v Iran
23:00 Switzerland v Honduras
23:00 Ecuador v France.
26-6-2014
19:00 Ghana v Portugal
19:00 USA v German
23:00 Belgium v korea
23:00 Algeria v Russia
Monday, June 2, 2014
HAYA NI MAMBO 21 USIYOYAFAHAMU KUHUSU KOMBE LA DUNIA
1. The tournament has been held 18 times
since 1930, however, only seven different
nations have lifted the trophy.
2. No country from outside South America or
Europe has ever won the World Cup.
3. Five-time champions Brazil are the only
World Cup winners who have not won the title
on home soil.
4. Oliver Kahn of Germany is the only
goalkeeper to have won the Golden Ball (best
player at the tournament) trophy.
5. During the inter-war years, Italian football
Chief Ottorino Barassi secretly took the Jules
Rimet trophy home from a bank in Rome and
kept it under his bed in a shoebox to ensure
Hitler and his Nazi troops didn’t find it. There it
stayed until the 1950 World Cup.
6. The largest crowd for a World Cup match
was in the 1950 final between hosts Brazil and
Uruguay, when 199,954 people filed into the
Maracana in Rio de Janeiro (the host venue of
this year’s final). Uruguay won the match 2-1.
7. Korea Republic became the best performing
Asian nation when it reached the 2002 semi-
finals on home soil.
8. Australia will be the lowest-ranked nation at
this year’s tournament – the Socceroos
currently sit at 59 on FIFA’s world rankings.
9. Tim Cahill is the only Australian player in the
current squad to have scored a World Cup goal.
10. In 2010, New Zealand finished the
tournament as the only undefeated side after
drawing all of its matches. Eventual winners
Spain suffered a shock 1-0 defeat to
Switzerland in the group stage.
11. In 2002, France became the worst ever
defending champions when they were
eliminated in the group stages without scoring
a goal.
12. In 1994, 42-year-old Roger Milla from
Cameroon became both the oldest goal-scorer
and oldest player in World Cup history.
13. Sir Viv Richards is the only person to have
played in both the FIFA World Cup and the ICC
World Cup (cricket).
14. Diego Maradona knocked England out of the
1986 tournament when he punched the ball into
the goal. Maradona famously said it was “the
hand of God”.
15. Brazil hosted one of the most unique
editions of the World Cup in 1950 as it was the
only tournament in which the winner was
determined by a final group stage, with the final
four teams playing in a round-robin format,
instead of a knockout stage.
16. During a time dominated by the iconic
Brazilian Pele, Just Fontaine won the Golden
boot at the 1958 World Cup in Sweden by
scoring a total of 13 goals in the tournament.
The French striker scored 13 in just six
matches - the highest number of goals ever
scored by one player at a single World Cup
tournament.
17. Italy's triumph in 1934 is said to be
influenced by military leaders seeking
propaganda coups. At the time, fascist dictator
Mussolini was in power in Italy. Mussolini
decided to have dinner with just the referee
and linesman instead of the usual dinner
involving players and staff members from both
teams on the night before the final. Italy came
out victorious as they defeated Czechoslovakia
2-1.
18. Italy has always been a major contender to
lift the trophy in every tournament they have
featured in, but while they won back to back
World Cups in 1934 and 1938, the Italians had
to wait 44 years for their third title.
19. Which player has scored the most goals in
a single World Cup match? No, it isn't Pele,
Maradona, Gerd Muller or Ronaldo. Oleg
Salenko, who represented Russia at the 1994
World Cup finals in USA, scored 5 goals against
Cameroon which stands as the record for the
most goals by an individual in a World Cup
game.
20. Hungary beat El Salvador 10-1 on June
15,1982 in Elche, Spain, thus recording the
biggest scoreline in the tournament finals.
21. A crowd search by police before 1930’s
World Cup final in Uruguay led to the
confiscation of 1,600 revolvers.
UCHAGUZI YANGA:Sasa ni hadi 14 June mwakani
UCHAGUZI Mkuu wa Yanga umesogezwa
mbele hadi Juni 14 mwakani huku wanachama
wakimtaka Mwenyekiti wao Yusufu Manji
kuwania tena nafasi hiyo kwa kipindi cha
miaka minne au minane endapo itakubaliwa
kwenye Katiba.
Awali, Uchaguzi Mkuu wa Klabu hiyo
ulipangwa kufanyika Juni 15 mwaka huu, lakini
wanachama wa Yanga waliokuwa na mkutano
wa marekebisho ya Katiba jana kwenye
ukumbi wa Polisi Osterbay waliamua uchaguzi
huo usogezwe mbele ili kupisha marekebisho
ya Katiba.
Aidha, wanachama wa klabu hiyo wamepitisha
vipengele viwili vilivyoongezwa kwenye Katiba
yao kimoja kikiwa ni kuunda Kamati ya Maadili
kilichopendekezwa na Shirikisho la Soka
Tanzania (TFF) lakini wakihitaji marekebisho
badala ya Kaimu Mwenyekiti iwe Makamu
Mwenyekiti.
Aidha, wanachama wameipa mamlaka Kamati
ya Utendaji kufanya nyongeza ya mabadiliko
katika Katiba ya Yanga endapo itahitajika na
TFF ndani ya miezi isiyozidi mitatu kuanzia
tarehe ya jana bila kuitisha mkutano wa
wanachama.
Katika mkutano huo, Manji alitangaza kwa
wanachama kuwa hatogombea nafasi hiyo kwa
mara nyingine, jambo ambalo wanachama
hawakukubaliana naye.
Baada ya kauli hiyo, Mwenyekiti wa Baraza la
Wazee la Yanga Jabir Katundu alihoji
wanachama kama wanakubaliana naye, jibu la
hapana likatawala, wakimuomba aendelee na
ndipo akaamua kupisha mjadala dhidi yake
ufanyike kwa haki huku yeye akitoka nje.
Katika mjadala huo ulioongozwa na Mwenyekiti
wa Baraza la Wadhamini wa Yanga Fatuma
Karume na mjumbe Francis Kifukwe
wanachama walikubali kwa pamoja agombee
na ndipo Manji alipoitwa kuelezwa msimamo
wa wanachama.
Wanachama wengi walipendekeza akae
madarakani kati ya miaka minne au minane
baada ya kufanikiwa kurejesha imani ya
wanachama na kuwezesha pia, Yanga
kumaliza Ligi ikiwa na tuzo ya nidhamu.
Kwa mujibu wa Katiba ya Yanga uongozi
unakaa kwa miaka minne kabla ya kufanyika
uchaguzi mkuu, lakini wanachama
wamependekeza muda wa ukomo wa uongozi
uingizwe kwenye Katiba kwamba ni miaka
minane jambo ambalo Manji alisema linatakiwa
kuingizwa kwenye Katiba.
Pia, wanachama hao walipendekeza badala ya
kuitwa Mwenyekiti, awe Rais jambo ambalo
linahitaji kufanyiwa marekebisho ya Katiba
ndipo likubalike.
Baada ya Manji kuitwa kwa ajili ya kukubali
ombi la wanachama hao alisema:
“Siwezi kusema hapana kwa mama wa Taifa
(Fatma ambaye ni mke wa Rais wa Kwanza wa
Zanzibar Abeid Karume), naona aibu
kumkatalia kwa sababu ataona kuwa
nimemdharau, nashukuru kwa imani yenu
kwangu, naomba mnipe muda, uchaguzi
usogezwe mbele kwa mwaka mmoja sababu
ya marekebisho ya Katiba kisha mengine
yafuate,” alisema.
Alisema nia ya kusogeza mbele ni kutoa nafasi
ya katiba hiyo kuingiza baadhi ya
mapendekezo yaliyotolewa na wanachama hao
na kwamba hadi Katiba ikubalike kwa msajili,
uchaguzi utangazwe siku 60 muda utakuwa
umeenda kwani wakati huo atakuwa akihitajika
kocha mpya na timu itakuwa kwenye
maandailizi ya Ligi Kuu.
“Nia ya Yanga ni kufanya vizuri katika
michuano ya kimataifa na Ligi Kuu tunahitaji
maandalizi sasa tukisema tufanye uchaguzi
Septemba mwaka huu tutaipeleka Yanga
pabaya,”alisema na kuongeza kuwa sasa
viongozi watakuwa ni wale wale isipokuwa
Kamati ya Utendaji itabadilishwa.
Katika hatua nyingine, Manji alisema kati ya CV
(wasifu) saba za makocha walizopitia kwa ajili
ya kuifundisha Yanga, wamechagua moja ya
Kocha wa zamani wa Taifa Stars Marcio
Maximo hivyo wanaendelea kufanya naye
mazungumzo.
Pia, alisema katika kukiimarisha kikosi hicho
wataongeza wachezaji wawili wa kigeni na
watatu wa nyumbani lengo ni kufanya vizuri
msimu ujao.
UCHAGUZI SIMBA:Saba waenguliwa
KAMATI ya Uchaguzi ya klabu ya Simba, chini
ya Mwenyekiti Dk Damas Ndumbaro,
imewaondoa wagombea saba katika
kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Ujumbe
wa Kamati ya Utendaji wa klabu hiyo, huku
wagombea wengine watano wakitangaza
kujitoa katika mchakato huo kwa sababu za
kifamilia.
Aidha, mbali na kuwaengua wagombea hao,
Ndumbaro alimzungumzia aliyekuwa mgombea
wa nafasi ya Rais wa klabu hiyo Michael
Wambura na kutaka wanachama
wasiyumbishwe na kauli zake.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar
es Salaam jana, Ndumbaro alisema, katika
mchakato mzima wa usaili, kamati yake
iliongozwa na Ibara ya 26, ambako wagombea
wote saba walioenguliwa walibanwa na vifungu
vidogo vya 2 na 6, hivyo kukosa sifa za kubaki
katika uchaguzi huo.
Kwa mujibu wa Ndumbaro, kifungu kidogo cha
2 kinataka mgombea awe na elimu ya kidato
cha nne anayetambuliwa na Baraza la Mitihani
la Taifa, wakati kifungu cha 6 kinataka
mgombea awe na uanachama wa klabu hiyo
usiopungua miaka mitatu na si chini ya hapo.
Ndumbaro aliwataja wagombea waliondolewa
kwa kutokidhi Ibara ya 26 kifungu kidogo cha 2
kuwa ni George Wakuganda na Salim Jazza,
wakati wagombea Ahmed Mlanzi, Emmanuel
Kazimoto, Omary Omary, Ramson Rutiginga na
Selemani Dewji wakishindwa kukidhi Ibara ya
26 kifungu kidogo cha 6.
Aliwataja wagombea waliojitoa katika
kinyang’anyiro hicho kuwa ni Emmanuel
Mayage na Joseph Itang’are ‘Kinesi’
waliokuwa wakiwania nafasi ya Makamu wa
Rais, pamoja na Asha Kigundula, Hussein
Simba na Juma Pinto, waliokuwa wakiwania
nafasi ya Ujumbe wa Kamati ya Utendaji.
“Wagombea waliojitoa, kwetu wameeleza
kufanya hivyo kutokana na sababu za
kifamilia, ambazo kama kamati hatuko huru
kuhoji, zaidi ya kuridhia.Ama kuhusu
waliopitishwa, wapo wanaoweza kuondolewa
kutokana na baadhi ya masuala kufikishwa
mikononi mwa vyombo vya dola,” aliongeza
Ndumbaro.
Alifafanua zaidi Ndumbaro alisema, baadhi ya
wagombea taarifa zao ziko mikononi mwa
vyombo vya dola ambavyo ni Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania
(Takukuru) na Baraza la Mitihani la Taifa
(Necta), na kwamba watakaokutwa na makosa
wanaweza kuondolewa kwenye mchakato huo.
Akizungumzia tuhuma za rushwa ya ngono na
pesa zilizoelekezwa kwa kamati hiyo na
mgombea Urais waliyemuondoa, Michael
Wambura, Ndumbaro alisema kuwa
amesikitishwa na tuhuma hizo na maneno
mengine machafu yaliyotolewa na Wambura,
aliyemtaja kama bingwa wa soka la
mahakamani.
Kamati hiyo ya Ndumbaro ilimuengua Wambura
kuwania nafasi ya rais kwenye uchaguzi huo
kwa madai ya kuwa si mwanachama halali wa
Simba.
“Wanachama Simba wasiyumbishwe na kauli
za Wambura, Kamati haijamuonea wala
haijapokea rushwa ya ngono na pesa
kupindisha sheria. Huyu ni wa kupuuzwa,
kwani kama angekuwa muelewa, alipaswa
kukata rufaa na sio kupakana matope kwa
tuhuma zisizo na ushahidi,” alisema
Ndumbaro.
Ndumbaro alisisitiza kuwa, katika kanuni za
Fifa, TFF na hata Simba zinakataza soka
kupelekwa katika mahakama za kawaida,
hivyo kitendo alichokuwa amefanya Wambura
hadi kusimamishwa uanachama, kilikuwa
sawa na kifo na wao kama kamati,
walichofanya ni kumzika marehemu ambaye
akiachwa ataoza na kunuka.
Mwenyekiti huyo ambaye pia ni mwanachama
wa Simba alisema Wambura ni tatizo kwenye
soka la Tanzania kutokana na tabia zake za
kupenda kukimbilia Mahakamani mara kwa
mara kitu ambacho ndicho kilichomuua na
ndiyo maana Kamati yake kupitia kanuni
imeamua kummalizia kwa kumzika.
“Mtu huyu mmoja ameshaenguliwa kwenye
chaguzi tatu ikiwemo ule wa TFF na wa Simba
mara mbili huoni kama huyu ni tatizo na
ukitaka kujua kama ni tatizo ndiyo sababu
Jamal Malinzi (Rais wa TFF) hajamteua katika
kamati hata moja kati ya 18
alizoziunda,”alisema Ndumbaro.
Ndumbaro pia alisema hawezi kushindana na
Wambura kwa sababu ni mwanafunzi wake
aliyewahi kumfundisha somo la Sheria Chuo
Kikuu Huria cha Dar es Salaam.
Kwa upande wake, Mjumbe wa Kamati hiyo
Amin Bakhressa, alikiri kushtushwa na madai
yaliyotolewa na Wambura kuwa Kamati yao
imeshiriki kupokea rushwa ya ngono na pesa,
hivyo kumtaka mlalamikaji huyo kuthibitisha
tuhuma kwa kumtaja aliyetoa na kupokea
rushwa hizo miongoni mwao, ili wajiwajibishe.
“Tunamuomba athibitishe, vinginevyo
akanushe kwa uzito ule ule aliotoa, kwani
kimsingi tuhuma hizi zimechafua hali ya hewa
hadi ya kifamilia kwa kutuhusisha na tuhuma
za ngono, ambazo kwa weledi na heshima
walizonazo wajumbe wa kamati hii, hawawezi
kushiriki upuuzi huo hata mara moja,”
alisisitiza Bakhressa.
Taifa stars iyoooooooo....
TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars jana
ilifanikiwa kufuzu raundi ya pili ya kuwania
kufuzu fainali za kombe la Mataifa Afrika
baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 na
Zimbabwe katika mchezo mkali wa marudiano
uliofanyika jijini Harare.
Kwa matokeo hayo Stars imefuzu kwa ushindi
wa jumla ya mabao 3-2 baada ya kushinda
bao 1-0 katika mechi ya awali iliyofanyika Dar
es Salaam wiki mbili zilizopita kwa bao
lililofungwa na John Bocco dakika ya 36. Stars
sasa itacheza na msumbiji iliyoitoa Sudani
Kusini kwa jumla ya mabao 5-0.
Kwa mujibu wa blog ya
bongostaz.blogspot.com Zimbabwe ndiyo
waliokuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza
katika dakika ya tatu ya mchezo lililofungwa na
Danny Phiri kufuatia shambulizi kubwa kwenye
lango la Stars na kujipatia bao hilo ambalo
lilifufua matumaini ya Wazimbabwe kusonga
mbele.
Hali iliwabadilikia ghafla Wazimbabwe baada ya
Nahodha wa Stars Nadir Haroub
kuisawazishia Tanzania bao hilo kwa kichwa
akiunganisha kona ya Simon Msuva dakika ya
21 na kufanya matokeo kuwa sare ya 1-1 hadi
mapumziko.
Kipindi cha pili Stars iliyo chini ya kocha
Mholanzi Mart Nooij, ilikianza kwa kasi na
kufanikiwa kupata bao la pili katika dakika ya
46 lililofungwa na Thomas Ulimwengu baada
ya mabeki wa Zimbabwe kudhani ameotea.
Hata hivyo bao hilo la Stars halikudumu kwani
dakika ya 54 wenyeji Zimbabwe,
walisawazisha kupitia kwa Denver Mukamba,
aliyepiga kona iliyoingia moja kwa moja
wavuni.
Bao hilo liliibua ari ya wachezaji wa na kuanza
kucheza kwa kasi na kulisakama lango la
Stars kwa muda mrefu lakini ngome imara
iliyokuwa chini ya Nahodha Haroub kipa
Deogratius Munish na Said Morad aliyeingia
kipindi cha pili ilikuwa makini kwa kuondosha
hatari zote zilizoelekezwa langoni mwao.
Baada ya kuona timu yake inaelemewa zaidi
dakika za mwishoni kocha Nooij aliwatoa
Msuva na Ulimwengu nafasi zao
zikachukuliwa na Moradi pamoja na Mrisho
Ngassa ambao waliongeza uimara na
kufanikiwa kulinda matokeo yasibadilike.
Monday, May 19, 2014
Saturday, May 17, 2014
Atletico Madrid ,mfalme La liga
TIMU ya Atletico Madrid imetwaa kombe la La
Liga baada ya sare ya 1 - 1 dhidi ya Barcelona
kwenye Uwanja wa Nou Camp. Kwa ushindi
huo wamefikisha pointi 90 wakati Barcelona
wakiwa na pointi 87 sawa na Real Madrid
ambao wamemaliza wakiwa nafasi ya tatu.
Mara ya mwisho kutwaa kombe hilo ilikuwa
1996!
Arsenal, bingwa FA cup
Arsenal wametwaa kombe la FA baada ya
kukaa miaka tisa bila kombe lolote . Wametwaa
ndoo hiyo kwa kuifunga Hull City bao 3 -2 katika
muda wa nyongeza baada ya sare ya 2- 2
katika muda wa kawaida kwenye Uwanja wa
Wembley usiku huu .
Wafungaji Arsenal: Carzola dakika ya 17 ,
Koscielny dakika ya 71 na Ramsey dakika ya
109 wakati ya Hull City yakifungwa na Chester
dakika ya 4 na Davies dakika ya 8 .
Wednesday, May 14, 2014
Angalia hapa mpira utakaotumika kwenye mechi za kombe la dunia
Je kifaa hiki kitaweza? Hilo ndilo swali linaloulizwa
na wengi kuhusu Brazuca, jina la mpira rasmi
utakaotumiwa katika dimba la Kombe la Dunia
lijulikanalo kama Brazil 2014.
Mpira huo ni wa 12 kuundwa na kampuni ya Adidas
kwa kinyang'anyiro cha Kombe la Dunia.
Kampuni hiyo ilikosolewa miaka minne iliyopita juu
ya mpira uliojulikana kama Jabulani, mpira rasmi
wa Kombe la Dunia wa mwaka 2010 Afrika Kusini.
"hauna mwelekeo angani na hautabiriki," ndivyo
alivyosema mlinda lango wa Italia Gianluigi Buffon,
naye mshambulizi wa Brazil Luis Fabiano alisema
mpiro huo ulikuwa wa "kimiujiza".
Adidas sasa inadai kuwa Brazuca imeimarisha
mguzo wake na shabaha.
" Tumefanya uchunguzi unaohusiana na mwendo
wa mpira huu na matokeo yanaonyesha kuwa
unasafiri na kupaa kwa njia zinazotarajiwa na
kujipinda kokote ni kudogo sana hivi kwamba
hakutambuliki," mkurugenzi wa kandanda wa
Adidas Matthias Mecking aliambia BBC.
Wataalamu wa kasi angani waliohojiwa na BBC
walisema kuwa kuna sababu tatu zitakazotumiwa
kuamua matumizi ya mpira wa Kombea la Dunia la
Brazil 2014.
"jambo muhimu sana kwa mpira huo ni jinsi ulivyo
"Kitu muhimu sana kuhusu mpira ni mguso wake,''
alieleza Daktari Rabi Mehta, afisa mkuu katika kituo
cha utafiti wa mambo ya anga za juu nchini
Marekani.
Daktari Rabi Mehta, aliambia BBC kuwa amefanya
majaribio ya mpira ya Jabulani katika shimbo lenye
hewa na amekuwa akichunguza Brazuca nao.
Anasema kuwa hali ya kukosa mwelekeo hutokea
wakati mpira hauzunguki au ukizunguka polepole
sana.
Mehta anasema mpira ulipokua laini unapopaa
kwenye anga bila kuzunguka, hewa iliyo karibu nao
inaingilia maeneo ambako ngozi inakutana na
kusabisha mpira kupata mwelekeo tofauti.
Ingawa mshambulizi matata wa Brazil Luis Fabiano
(kushoto) ameutaja huo mpira wa 2010 kama wa
kimiujiza lakini Daktari Mehta anasema kwa
kufanya mpira huo usiwe laini ni kama "tumerejea
tulikokuwa."
Baadhi ya wachezaji waliwahi kulalamika kuhusu
mpira wa Jabulani uliotumiwa Afrika Kusini
Mipira isiyo laini husafiri mwendo mrefu zaidi. Mpira
unapopaa hewani, huchochea na kusukuma hewa,
jinsi mashimo madogo yaliyoko kwenye mpira wa
gofu, Daktari Simon Choppin anasema.
"Hali hiyo ya kuchochea ni muhimu kwa kasi na
mwendo wa kutegemewa. Mpira ulio laini kabisa
hukabiliana na upepo mwingi na kuvuruga mwendo
wa hewa, " Bwana Choppin anasema.
Je uamuzi wa wanasayansi ni upi?
"nina hakika kuwa Brazuca utakuwa na tabia sawa
na ule wa asili ulio na vipande 32 vilivyoshonwa
kama hapo awali kwa hivyo malalamiko kama yale
tuliyotolewa katika mashindano mawili yaliyopita ya
Kombe la Dunia yatapunguka," Rabi Mehta alisema.
Sunday, May 11, 2014
Saturday, May 10, 2014
Wambura nae yumo,mbio za urais Simba
KUMEKUCHA Simba. Ndivyo unavyoweza
kueleza baada ya jana mmoja wa wanachama
wake maarufu kutangaza kuwania urais katika
Uchaguzi Mkuu wa Juni 29, mwaka huu.
Michael Richard Wambura amesema Jumatatu
ijayo atakwenda katika makao makuu ya
Simba, Mtaa wa Kariakoo, Dar es Salaam
kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo ya juu
katika uongozi wa klabu hiyo.
“Nimeulizwa sana (na waandishi wa habari)
kama nitawania uongozi katika Uchaguzi Mkuu
ujao. Jibu langu ni ndiyo. Jumatatu ijayo saa
tano asubuhi, nitakwenda kuchukua fomu ya
kuwania Urais wa Simba,” alisema Wambura
alipozungumza na gazeti hili jana.
Kiongozi huyo wa zamani wa soka katika
Simba na Shirikisho la Soka (TFF) wakati huo
Chama cha Soka Tanzania (FAT), alisema
ataeleza sababu za kuwania nafasi hiyo baada
ya kuchukua fomu siku hiyo.
“Nitaeleza sababu za kuwania nafasi hiyo
baada ya kuchukua fomu,” alieleza Wambura.
Uchaguzi Mkuu wa Simba umepangwa
kufanyika Juni 29, mwaka huu na fomu kwa
nafasi mbalimbali za uongozi zilianza kutolewa
jana hadi Mei 14, mwaka huu saa 10 jioni.
Mbali ya Wambura, jina jingine linalotajwa
katika kuwania urais wa Simba ni
mwanachama maarufu katika Kundi la Friends
of Simba, Evans Aveva ambaye anatajwa
kuungwa mkono na kundi hilo.
Wambura, ambaye amewahi kuwa Mjumbe wa
Baraza la Michezo la Taifa (BMT), pia
amewahi kuwa Katibu Mkuu wa FAT na
baadaye TFF, kabla ya kushindwa na Leodegar
Tenga katika Uchaguzi Mkuu wa TFF, mwaka
2005.
Baadaye alikuwa Katibu Mkuu wa Simba. Rais
wa sasa wa Simba, Alhaj Ismail Aden Rage
ametangaza kutowania kiti hicho.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya
Uchaguzi, Dk Damas Ndumbaro, nafasi
zitakazowaniwa ni Rais, Makamu wa Rais na
wajumbe watano wa Kamati ya Utendaji,
mmoja lazima awe mwanamke.
Kamati hiyo itakutana Mei 17, mwaka huu
kufanya uhakiki wa fomu za wagombea, na
Mei 19 watatangaza majina ya wagombea
walioomba nafasi hizo. Fomu zitatolewa kwa
nafasi ya Rais Sh 500,000, Makamu wa Rais
Sh 300,000 na wajumbe Sh 200,000.
Aidha, Mei 20 hadi 22, itakuwa ni siku ya
pingamizi dhidi ya wagombea na wanaotakiwa
kuweka pingamizi ni lazima wawe wanachama
wa klabu hiyo.
Mei 25 wataanza kusikiliza pingamizi, Mei 27
kutoa uamuzi, Mei 29, usaili wa wagombea na
Mei 30, itakuwa ni siku ya kutangaza matokeo
ya usaili.
Kuanzia Juni 2 hadi 9, Kamati ya Maadili na
wadau wataangalia masuala ya kimaadili na
Kamati ya Rufaa itakuwa inasikiliza rufaa
wakati maamuzi yote yatakuwa Juni 10 hadi 12
na kusikiliza rufaa hizo ni Juni 8-12.
Juni 13 hadi 15, itakuwa ni kukata rufaa Kamati
ya Rufaa ya Maadili, na Juni 16-20 kusikiliza
rufaa hizo, wakati Juni 21-23 maamuzi ya
mwisho ya kamati hiyo na siku inayofuata
orodha ya mwisho ya wagombea itatangazwa,
kabla ya kuanza kampeni kuanzia Juni 24 hadi
28.
Ngorongoro kukipiga na Nigeria leo
TIMU ya soka ya vijana chini ya umri wa
miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ leo itakuwa
kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam
kumenyana na wenzano wa Nigeria katika
mechi ya raundi ya pili ya kuwania kucheza
michuano ya Mataifa Afrika kwa vijana wa umri
huo.
Ngorongoro imefuzu raundi hiyo baada ya
kuiondosha Kenya kwa mikwaju ya penalti.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF) mechi hiyo itaanza saa
kumi jioni.
Akizungumzia mechi hiyo, kocha wa
Ngorongoro Heroes John Simkoko alisema
anaamini atapata matokeo mazuri leo licha ya
kukiri kuwa mechi hiyo ni ngumu.
“Nigeria tunawajua ni wazuri lakini hata sisi
pia tuna timu nzuri na tumejiandaa kukabiliana
nao,” alisema Simkoko.
“Nimekaa kambini na wachezaji wangu na
kwenye mazoezi nawaona wanavyofuata
maelekezo yangu, naamini hatutawaangusha
kesho (leo),” alisema.
Fainali za 19 za Mataifa Afrika, zimepangwa
kufanyika Senegal mwakani ambapo
zitashirikisha timu saba zitakazofuzu kwenye
mechi za mchujo kabla ya kuungana na
wenyeji Senegal watakaofanya jumla ya timu
nane kwenye michuano hiyo.
Tanzania haijawahi kufuzu michuano hiyo
tangu ilipofanya hivyo mwaka 1980 ambapo
timu ya wakubwa ilifuzu katika michuano
iliyofanyika Lagos, hata hivyo iliishia kwenye
makundi.
Viingilio katika mechi hiyo ni Sh 2,000 kwa
sehemu zote wakati upande wa VIP itakuwa
Sh 5,000. Kwa mujibu wa TFF, tiketi zitaanza
kuuzwa leo asubuhi kwenye magari maalumu.
Wednesday, May 7, 2014
kikosi cha brazil 2014
Brazil's World Cup squad:
Goalkeepers: Julio Cesar (Toronto FC/CAN),
Jefferson (Botafogo), Victor (Atletico Mineiro)
Defenders: Dante (Bayern Munich/GER), David
Luiz (Chelsea/ENG), Henrique (Napoli/ITA),
Thiago Silva (PSG), Daniel Alves (Barcelona/ESP),
Maicon (Roma/ITA), Marcelo (Real Madrid/ESP),
Maxwell (Paris St Germain/FRA)
Midfielders: Fernandinho (Manchester City/ENG),
Hernanes (Inter Milan/ITA), Luiz Gustavo
(Wolfsburg/GER), Oscar (Chelsea/ENG), Paulinho
(Tottenham/ENG), Ramires (Chelsea/ENG), Willian
(Chelsea/ENG)
Strikers: Bernard (Shakhtar Donetsk/UKR), Fred
(Fluminense), Hulk (Zenit Saint-Petersburg/RUS),
Jo (Atletico Mineiro), Neymar (Barcelona/ESP)
Friday, April 25, 2014
Stars kuminyana na Burundi leo.
TIMU ya Soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa
Stars), leo inaikabili Burundi (Intamba
Murugamba) katika mechi ya kimataifa ya
kirafiki kuadhimisha miaka 50 ya Muungano
wa Tanganyika na Zanzibar.
Tanganyika na Zanzibar ziliungana Aprili 26,
1964 na kuunda Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania chini ya waasisi Mwalimu Julius
Nyerere na Shekhe Amri Abeid Karume.
Burundi iliwasili nchini juzi tayari kwa mechi
hiyo itakayoanza saa 10 kamili kwenye Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam na kuchezeshwa na
mwamuzi kutoka Kenya, Anthony Ogwayo.
Taifa Stars imekuwa kambini jijini Dar es
Salaam tangu mwishoni mwa wiki iliyopita,
ikiwa inaundwa na wachezaji wazoefu pamoja
na vijana waliotokana na mchakato uliofanywa
katika mikoa mbalimbali.
Timu hii itawakosa wachezaji wake watatu
wanaocheza soka ya kulipwa ambao ni
Mbwana Samata, Thomas Ulimwengu
wanaochezea TP Mazembe na Mwinyi
Kazimoto anayecheza soka la kulipwa Qatar.
Aidha, mechi hiyo inatarajiwa kushuhudiwa na
kocha mpya wa Stars, Martinus Mart Nooij,
raia wa Uholanzi ambaye anatarajiwa
kuchukua nafasi ya Kim Poulsen aliyefukuzwa
na uongozi mpya wa soka Tanzania.
Akizungumzia mchezo huo, Ofisa Habari wa
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
Boniface Wambura aliwataka wananchi
kujitokeza kwa wingi ili kuwaona wachezaji
wapya waliopatikana katika mkakati wa
maalumu wa kupata wachezaji chipukizi wa
timu ya Taifa.
Wambura alisema wachezaji hao
watakaochanganyika na wachezaji wakongwe
wanatarajia kuonesha soka safi baada ya
kukaa kwa muda mrefu katika kambi maalumu
ya mafunzo.
Alisema ni mchezo wa aina yake hasa
ikizingatiwa kuwa timu hizo zote zipo katika
mchakato wa kujiandaa kushiriki kwenye
michuano ya awali ya Kombe la Mataifa ya
Afrika (Afcon).
Alisema ikumbukwe kuwa wachezaji hao
walicheza katika michuano ya Cecafa mwaka
jana ambapo Tanzania ilishinda kwa bao 1-0.
“Huu utakuwa ni mchezo wa aina yake kwa
kuwa wote wapo katika mchakato wa kunoa
vikosi kushiriki kwenye michuano hiyo
muhimu, hivyo basi wachezaji wanakuwa na
hali nzuri ya kimchezo katika kuhakikisha
kuwa wanacheza soka safi na lenge kuvutia,
watu waje kwa wingi kujionea soka hilo,”
alisema.
Wachezaji wa Stars waliopo kambini ni
Deogratias Munishi, Mwadini Ali, Aidan
Michael, Aggrey Morris, Erasto Nyoni, Hassan
Mwasapili, Kelvin Yondani, Said Morad, Amri
Kiemba, Frank Domayo, Himid Mao, Jonas
Mkude, Athanas Mdamu, Haruna Chanongo,
Juma Liuzio, Khamis Mcha, Mrisho Ngasa,
Ramadhan Singano na Simon Msuva.
Wengine ni Benedicto Mlekwa, Emma
Simwanda, Joram Mgeveje, Omari Kindamba,
Edward Mayunga, Shiraz Sozigwa, Yusuf
Mlipili, Said Ally, Abubakar Mohamed, Hashim
Magona, Omari Nyenje, Chunga Zito,
Mohammed Saidi, Ayoub Lipati, Abdulrahman
Ally na Paul Bundara.
Viingilio vya mechi hiyo ni VIP A Sh 20,000,
VIP B na C ni Sh 10,000 na cha chini ni Sh
5,000.
MECHI ZA LEO
RATIBA YA SOKA LEO JUMAMOSI 26th April 2014:
*Barclays Premier League
2:45 PM - Southampton vs Everton
5:00 PM - Fulham vs Hull City
5:00 PM - Stoke City vs Tottenham Hotspur
5:00 PM - Swansea City vs Aston Villa
5:00 PM - West Bromwich Albion vs West Ham
United
7:30 PM - Manchester United vs Norwich City
*Spanish Primera División
5:00 PM - Granada vs Rayo Vallecano
7:00 PM - Getafe vs Malaga
9:00 PM - Real Madrid vs Osasuna
11:00 PM - Real Betis vs Real Sociedad
*Italian Serie A
7:00 PM - Bologna vs Fiorentina
9:45 PM - Internazionale vs Napoli
*German Bundesliga
4:30 PM - Bayern Munich vs Werder Bremen
4:30 PM - Hertha Berlin vs TSV Eintracht
Braunschweig
4:30 PM - Mainz vs Nurnberg
4:30 PM - TSG Hoffenheim vs Eintracht Frankfurt
4:30 PM - VfL Wolfsburg vs SC Freiburg
7:30 PM - Bayer Leverkusen vs Borussia
Dortmund
*French Ligue 1
6:00 PM - AC Ajaccio vs AS Monaco
9:00 PM - Evian Thonon Gaillard vs St Etienne
9:00 PM - Guingamp vs Valenciennes
9:00 PM - Montpellier vs Toulouse
9:00 PM - Nice vs Stade de Reims
9:00 PM - Stade Rennes vs Lorient
# EAT
Thursday, April 24, 2014
aongezewa mkataba tena au ndio wanamwondoa kimya kimya?
Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko
Logarusic amesema amekubaliana
na Zacharia Hanspope na huenda
akabaki Simba.
Logarusic amesema amekutana na
Hanspope ambaye ni Mwenyekiti wa
Kamati ya Usajili ya Simba na
wamezungumza na kukubaliana.
“Nitabaki Simba kwa makubaliano
yetu hasa kama yatatekelezwa,
nimezungumza na Hanspope,
tumekubaliana.
“Lakini nalazimika kurudi nyumbani
kwanza, nitaondoka kesho asubuhi
kwenda Croatia na baada ya hapo
nitasubiri makubaliano yetu,”
alisema Logarusic.
Alipoulizwa walichokubaliana na
Hanspope ambaye imeelezwa
anatarajia kugombea uenyekiti,
alisema.
“Tumezungumza mambo mengi,
lakini vizuri mkawasiliana naye na
kujua tulichokubaliana. Yeye ndiye
anaweza kuzungumza,” alisema,
kocha wa zamani wa Gor Mahia ya
Kenya.
Mkataba wake ulikuwa ni wa miezi
sita tu baada ya kuichukua Simba
katika mzunguko wa pili.
Pamoja na kuiwezesha kuitwanga
Yanga katika mechi ya Nani Mtani
Jembe, Logarusic alishindwa
kutamba kwenye Ligi Kuu Bara na
kumaliza katika nafasi ya nne.
klopp awagomea MANCHESTER UNTD
kocha wa dortimund kloop amekemea vikali dondoo za waandishi wa habari wa uingereza kwa uvumi wao wa yy kujiunga na manchester untd .. na amesema hana mpango huo... mkataba wake unaisha 2018 kwa sasa.
je hataki au kiti cha moto?
moyes kutua hapa
spur waonyesha nia ya kumtaka moyes.. baada ya kutemwa na club ya manchester united ...
Daniel Levy ambae ndio boss wa spurs anaonekana kuwa mpenzi mzur wa moyes.
##dlx
Wednesday, April 23, 2014
KUTOKA MAJUU: FC Barcelona appeal granted suspensive effect. Source fifa.com
The club FC Barcelona has lodged an appeal before the FIFA Appeal Committee against the decision of the FIFA Disciplinary Committee that sanctioned the club for breaches relating to the international transfer and registration of players under the age of 18. Together with the appeal, the club requested that its appeal be granted suspensive effect.
In this respect, the chairman of the FIFA Appeal Committee, Larry Mussenden, took into consideration the sanctions imposed against the club, the complexity of the matter, the start date of the next registration period – 1 July 2014 – and the fact that the FIFA Appeal Committee does not seem in a position to take a decision on the main issue early enough so that an eventual appeal of the club against its decision before the Court of Arbitration for Sport would still be decided before the beginning of the next registration period. Consequently, the chairman of the FIFA Appeal Committee considered that the appeal lodged by the club is to be granted suspensive effect.
In view of the foregoing, the chairman of the FIFA Appeal Committee assures that proper and adequate appeal proceedings will take place and, at the same time, that all rights of the club will be respected.
Tuesday, April 22, 2014
KUTOKA VYOMBO VYA HABARI VYA NJE: Man Utd begin hunt but Giggs not in race. Source BBC
Giggs, 40, has been put in temporary charge after
Moyes was sacked following just 10 months in the
job.
But the Premier League club feel an experienced
manager is needed to turn things round after this
season's slump.
Gary Lineker thinks United are "in crisis" after their
worst season since the Premier League began.
"They have not qualified for the Champions League
and are in a worse situation than 12 months ago,"
said the BBC Match of the Day presenter and
former England captain.
"Then they had lost their manager. This time they
don't even know whether they are going to be in
European football next season."
Former Manchester United captain Roy Keane,
speaking to ITV Sport, said Moyes should have
been given more time and accused the players of
letting the manager down.
"Some of the players should be ashamed of
themselves," he said.
"To be seventh is disappointing - and he will take
responsibility for that - but I don't think he's had
that support he needed and he deserved more
time."
Chelsea boss Jose Mourinho, talking before the
club's Champions League semi-final first-leg at
Atletico Madrid, added: "I just feel sorry for David,
like I feel sorry for every manager that loses his
job."
Moyes took over in July 2013 following the
retirement of Sir Alex Ferguson, who won 38
trophies, including 13 league titles and two
Champions League crowns, in a 26-year reign,
Robbie Savage, who was in the United youth ranks
with Giggs and was also a team-mate with Wales,
says the club need an experienced head as they
look to rebuild their squad over the summer.
"In the future, Ryan can be a successful manager,"
Savage told BBC Sport. "But going forward it's such
a huge transfer window for United that they need an
experienced man at the helm.
"Keeping Ryan as assistant manager would be a
great idea. He has United in his blood and has won
countless trophies.
"He would be able to learn the ropes from a
manager who has won trophies and been there and
done it."
Giggs, the most decorated player in English football,
has yet to decide whether to continue his playing
career.
After winning 13 Premier League titles and the
Champions League twice with United, as well as the
FA Cup four times and the League Cup three times,
his current contract runs out at the end of the
season.
It is understood United's hierarchy reached their
decision to dispense with Moyes reluctantly but
also in the knowledge they had little alternative.
They were forced to bring forward a public
announcement when British newspapers began
reporting the 50-year-old Scot's tenure was set to
end.
Sunday's 2-0 defeat at Everton means United,
currently seventh in the Premier League, will miss
out on the Champions League for the first time in 18
years.
It would also now take a favourable sequence of
results for them to secure a place in the Europa
League.
Poor results are not the only factor to count against
Moyes, who was sacked a year to the day after
United were crowned champions.
United officials hope Giggs will be able to restore a
sense of bullishness to the club, as well as a return
to the positivity and attacking philosophy for which
the club are so well known.
As the search for a second manager in less than a
year begins, Jurgen Klopp and Pep Guardiola
appear to be out of reach.
Klopp says his contract with Borussia Dortmund is
"unbreakable", while Guardiola has guided Bayern
to the Bundesliga title and Champions League
semi-finals in his first season in charge.
It leaves Netherlands coach Louis van Gaal in a
strong position, given Carlo Ancelotti is under
contract at Real Madrid and both Diego Simeone
and former United defender Laurent Blanc,
presently at Atletico Madrid and Paris St-Germain
respectively, have never coached in England.
Van Gaal's managerial curriculum vitae is
impressive.
The 62-year-old won three Dutch titles with Ajax
between 1991-97, as well as the 1995 Champions
League. He then secured two La Liga crowns at
Barcelona and enjoyed Bundesliga success at
Bayern Munich in 2010.
Savage believes he would be the perfect fit for
United and has a great relationship with striker
Robin van Persie.
"If Manchester United don't invest heavily in the
next transfer window, then they will go backwards,"
added the former Leicester City, Birmingham City,
Blackburn Rovers and Derby County midfielder.
"Van Gaal is a fantastic manager who has been
there and done it and will command respect."
Former United goalkeeper Raimond van der Gouw
says Van Gaal has an impressive pedigree.
"He has proved he's a good manager," Van der
Gouw told BBC Radio 5 live. "He's a champion in
Holland, Germany and Spain. He can be a good
manager for United."
Van der Gouw also insisted Moyes was always
likely to find it hard making an impact at Old
Trafford.
"If you have to go to a big club like United, you need
experience," he said. "It's a big step to go from
Everton to Manchester United. It's a much bigger
club, much more responsibility."
Former Manchester United manager Wilf
McGuinness succeeded Sir Matt Busby in June
1969, taking over in similar circumstances to
Moyes when his predecessor moved upstairs.
McGuinness reached three cup semi-finals, but
failed to win any silverware and was sacked in
December 1970.
"Everybody hopes to go to clubs like Manchester
United and stay the rest of their lives, but
unfortunately it did not work out," he told Radio 5
live.
"I'm sorry to see him go. It was a tricky job, but
Manchester United must have success and win
things."
Asked if there were similarities with his own
situation at Manchester United, McGuinness added:
"That's right, but it didn't work and several others
found that out as well."
Despite United's current troubles, club officials
believe they can regain ground quickly. "Reports of
our demise have been greatly exaggerated," one
club source told BBC Sport.
The finance is certainly available to strengthen the
squad, as it would have been had Moyes remained
in charge. United are also convinced their absence
from the Champions League need not be too much
of a handicap in the recruitment process.
But Lineker believes the players need to improve
their attitude.
"There is no question the players let David Moyes
down," said the former Barcelona, Everton,
Tottenham and Leicester striker.
"I hear pretty much first-hand that some of the
players were pretty dismissive of the new regime.
That is poor professionalism.
"Some of them have probably made life quite
difficult for David Moyes."
KUTOKA VYOMBO VYA HABARI VYA NJE: Dortmund rule out Juergen Klopp exit. Source ESPN
United confirmed that Moyes’ reign had been brought to
an end on Tuesday morning, and there has been
speculation that Klopp -- who guided Dortmund to last
season’s Champions League final -- is among the top
candidates for the role.
However, on Saturday, in response to claims Barcelona
have shown interest, Klopp had dismissed the
suggestion he could leave Borussia, and BVB director of
communication Sascha Fligge has now ruled out any
prospect the 46-year-old could take charge at Old
Trafford.
“Juergen Klopp already dismissed rumours linking him
to Barcelona on our official homepage on Saturday,”
Fligge told ESPN FC.
The former FSV Mainz coach extended his contract until
2018 in October and Fligge said there was no possibility
he would leave before then.
Before extending his deal, Klopp had been touted as a
potential successor to Sir Alex Ferguson, and Fligge
added: “We’ve already had this last year, but it’s final,
even if some people don’t want to believe it.”
Klopp, who guided Dortmund to a fourth consecutive
Champions League appearance at the weekend for the
first time in the club’s history, had said he was “still a bit
in love” with BVB when rejecting the Barca speculation.
Later on Tuesday morning, Klopp told The
Guardian: “Man Utd is a great club and I feel very
familiar with their wonderful fans, but my commitment to
Borussia Dortmund and the people is not breakable.”
KUTOKA VYOMBA VYA HABARI VYA NJE: United make move for Louis van Gaal. Source ESPN
Manchester United have already made the first steps
towards bringing Louis van Gaal in to replace sacked
manager David Moyes, Old Trafford sources have told
ESPN FC.
• Podcast: Chosen One? Sacked?
• Vote on Moyes' replacement at United
Having confirmed that Ryan Giggs will take temporary
charge on Tuesday morning, United are prepared to
keep an open mind about their next permanent boss and
will investigate other high-profile options, but the
Dutchman’s availability and evident willingness have
ensured United moved to make contact.
Van Gaal, who leaves his post as Netherlands boss after
the World Cup this summer, is seen as the likeliest
successor, potentially as a medium-term option until
United can appoint one of the other alternatives they are
still considering at this point.
The 62-year-old had been expected to join Tottenham
Hotspur as recently as February, and ex-Netherlands
star Ruud Gullit later told the BBC he thought it was a
“done deal,” but White Hart Lane sources say Van Gaal
has become extremely cool on that prospect over the
last two months and his position has completely
changed -- perhaps because the Dutchman had been
informed the United post could become open to him.
That, however, will not stop last season's Premier
League champions pursuing other avenues and seeing
what progress could be made with potential candidates
such as Juergen Klopp. Chief executive Ed Woodward is
known to be a huge fan of the German, but Borussia
Dortmund have told ESPN FC he will not leave and the
manager himself also ruled out an exit. United may still
test the waters to see how firm those sentiments are.
Whatever happens, the process will be very different
from the appointment of Moyes, with Sir Alex Ferguson’s
role greatly reduced after this season's debacle.
United's owners, the Glazer family, will assume an
increased and more direct influence in a more
business-like process, following on from the active
interest they took in managerial performance since
United’s FA Cup defeat to Swansea City in January.
That was the first time the club’s hierarchy began to
contemplate sacking Moyes, with the Glazers previously
much more detached as a consequence of the idea the
former Everton manager would be a long-term
appointment.
According to ESPN FC sources, by Sunday’s 2-0 defeat
at Goodison Park, almost everyone of significance at the
club had turned against Moyes -- the playing staff,
many directors and a number of sponsors. The Glazers
also wanted to ensure that the inevitable sacking
happened long before the World Cup, in order to allow
proper time to plan.
Meanwhile, sources state Moyes is only ever likely to
get compensation amounting to one or two years' worth
of the six-year contract he signed last summer. One
point of negotiation as regards that deal was the failure
to qualify for the Champions League, or to reach any
other acceptable target.
Samata,Ulimwengu na Kazimoto, kuikosa mechi dhidi ya Uganda
WACHEZAJI watatu wa Tanzania wanaocheza
soka la kulipwa nje watakosa katika mechi ya
kirafiki kati ya Taifa Stars dhidi ya Burundi
itakayochezwa Jumamosi wiki hii kwenye
Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Akizungumza na waandishi wa habari jana,
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania
(TFF), Boniface Wambura alisema wachezaji
hao ni Mbwana Samatta, Thomas Ulimwengu
wanaocheza TP Mazembe ya Congo na Mwinyi
Kazimoto anayekipiga Qatar.
“Tuliandika barua kuwaomba wachezaji hao,
lakini tunaona kuwa kama watakosa mechi hii
basi watashiriki katika mechi ya mchujo
kuwania Kombe la Mataifa la Afrika, lakini
katika mechi ijayo watacheza wale wa ndani,”
alisema Wambura.
Alisema mchezo huo wa Jumamosi utakuwa ni
sehemu ya kusherehekea miaka 50 ya
Muungano.
Katika mechi hiyo itashuhudiwa na kocha
mpya wa Taifa Stars, Martinus Ignatus Nooij
ambaye anatarajiwa kutua nchini Ijumaa, na
baada ya mechi atatambulishwa rasmi na Rais
wa TFF, Jamal Malinzi.
Nooij ni kocha wa St. George ya Ethiopia na
tayari alikwishasaini mkataba wa miaka miwili
kuifundisha Stars. Burundi ‘Intamba
Murugamba’ itatua nchini Ijumaa tayari kwa
mechi hiyo itakayoshirikisha wachezaji
waliochaguliwa kwenye programu maalumu ya
maboresho ya Stars na wale wakongwe.
Wambura alisema wachezaji 39 wako kwenye
kambi ya Kunduchi Beach, Dar es Salaam
wakijifua kwa ajili ya mechi hiyo na ile ya Mei
mwaka huu itakayochezwa mkoani Mbeya.
Wachezaji wa Taifa Stars waliopo kambini ni
Deogratias Munishi, Mwadini Ali, Aidan
Michael, Aggrey Morris, Erasto Nyoni, Hassan
Mwasapili, Kelvin Yondani, Said Morad, Amri
Kiemba, Frank Domayo, Himid Mao, Jonas
Mkude, Athanas Mdamu, Haruna Chanongo,
Juma Liuzio, Khamis Mcha, Mrisho Ngasa,
Ramadhan Singano na Simon Msuva.
Wengine ni Benedicto Mlekwa, Emma
Simwanda, Joram Mgeveje, Omari Kindamba,
Edward Mayunga, Shiraz Sozigwa, Yusuf
Mlipili, Said Ally, Abubakar Mohamed, Hashim
Magona, Omari Nyenje, Chunga Zito,
Mohammed Saidi, Ayoub Lipati, Abdurahman
Ally na Paul Bundara.
Alitaja viingilio vya mechi hiyo kuwa ni VIP A
Sh 20,000, VIP B na C ni Sh 10,000 na cha
chini ni Sh 5,000.
Moyes OUT!!!
KOCHA Mkuu wa Manchester United, David
Moyes amefutwa kazi, ikiwa ni miezi 10 tu
baada ya kumrithi Sir Aex Ferguson.
Alitimuliwa baada ya mkutano na Makamu
Mwenyekiti wa klabu hiyo, Ed Woodward katika
uwanja wa mazoezi wa Carrington,
Manchester jana saa mbili asubuhi kwa saa za
Uingereza.
Moyes, 50, alichaguliwa na Ferguson kuwa
mtu wa kumrithi wakati alipostaafu baada ya
miaka 26 ya kuiongoza klabu hiyo ya Old
Trafford mwishoni mwa msimu uliopita.
Kocha mchezaji, Ryan Giggs anatarajiwa
kuiongoza United katika mechi ijayo ya
nyumbani dhidi ya Norwich City, Jumamosi
wiki hii.
Kocha Mholanzi Louis Van Gaal, kocha wa
Borussia Dortmund, Jurgen Klopp, wa Atletico
Madrid, Diego Simeone na yule wa Paris St-
Germain, Laurent Blanc tayari wanatajwa
katika kumrithi Moyes.
Hata hivyo, Klopp ambaye mapema msimu huu
alisaini mkataba mpya hadi mwaka 2018,
amelieleza gazeti la Guardian la Uingereza
kuwa atabaki Signal Iduna Park.
“Man Utd ni klabu kubwa na ninajisikia vizuri
na mashabiki wake wa kuvutia,” alisema
Klopp. “Lakini utiifu wangu kwa Borussia
Dortmund na watu wake hauwezi kuvunjika.”
Aidha, imefahamika kuwa makocha Steve
Round na Jimmy Lumsden pia wameachia
ngazi nafasi zao, lakini kocha wa makipa Chris
Woods na kocha wa timu ya kwanza, Phil
Neville watabaki hadi mwisho wa msimu.
United ilikataa kutoa maoni kuhusu taarifa za
magazeti ya Uingereza juzi kwamba Moyes
ambaye aliondoka Everton na kusaini mkataba
wa miaka sita na mabingwa hao wa Ligi Kuu
ya England, angefukuzwa kabla ya mwishoni
mwa msimu huu. Lakini taarifa ya klabu hiyo
jana ilisema, “tungependa kuweka
kumbukumbu sawa, kwa kutoa shukrani kwa
kujituma kwa bidii, ukweli na uadilifu aliouleta
wakati wa kutekeleza jukumu lake.”
United iliyo katika nafasi ya saba zikiwa
zimebaki mechi nne, imejihakikishia kupata
pointi chache katika Ligi Kuu baada ya
kutaabika hasa Old Trafford msimu huu. Chini
ya Moyes, alipoteza mechi sita nyumbani,
alifungwa na Swansea katika Kombe la FA
kwenye Uwanja wa Old Trafford, na ilishindwa
kuizuia Sunderland kuwatoa katika nusu fainali
ya Kombe la Ligi.
Machi mwaka huu, baadhi ya mashabiki
walikodi ndege na kuruka juu ya uwanja huo
wakati wa mechi yao ya Ligi Kuu dhidi ya
Aston Villa, ikiwa na bango lenye maneno
“Wrong One – Moyes Out” (ikimaanisha
Moyes hakuwa chaguo sahihi na anastahili
kuondoka) – ikiwa ni kama kupingana na
bango jingine uwanjani hapo lililombatiza
Moyes kuwa “Chosen One.”
Mashetani Wekundu hao pia watakosa
kucheza Ligi ya Mabingwa kwa mara ya
kwanza tangu mwaka 1995 na wako katika
hatari ya kukosa kabisa michuano ya Ulaya
kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1990.
United ilifuzu kwa robo fainali ya Ligi ya
Mabingwa kabla ya kutolewa na Bayern
Munich na Moyes alidai kuwa kikosi hicho
kilicheza vyema katika michuano hiyo.
Hata hivyo, kumekuwapo na madai kuwa
alikuwa hakubaliki kwa wachezaji wa Man
United, kiasi kwamba kiungo Anderson
alipohamia Fiorentina kwa mkopo Januari,
alidai wachezaji wa timu hiyo wanataka Moyes
aondoke. Baadaye alikanusha kauli hiyo.
Lakini Rio Ferdinand na Robin van Persie pia
wamewahi kukaririwa wakitoa kauli kama hizo,
wakati Javier Hernandez na Wilfried Zaha
wamewahi kuandika katika mitandao ya
Twitter kumkana kocha wao.
Baada ya kipigo Jumapili wiki hii dhidi ya timu
yake ya zamani Everton, ilikuwa dhahiri Moyes
siku zake katika Old Trafford zilikuwa
zinahesabika.
Alijiunga na timu hiyo baada ya misimu 11
katika Everton na alisema asingeweza kukataa
fursa ya kuhamia Old Trafford. Alianza kazi
rasmi Julai mosi.
Anakuwa kocha wa tatu kukaa muda mfupi
katika United, na ni mara ya kwanza tangu
Novemba 6, 1986 kwamba Manchester United
imefukuza kocha.
Moyes, ambaye ni raia wa Scotland,
ameifundisha United mechi 49, akimpiku Walter
Crickmer katika mechi 43 katika kipindi chake
cha kwanza kati ya viwili vya ukocha, wakati
Lal Hilditch ndiye aliyekaa muda mfupi zaidi,
akidumu kwa mechi 33 kati ya Oktoba 1926 na
Aprili 1927.
Friends of Simba wamzuia tambwe kwenda Yanga
Tambwe, ambaye hivi karibuni alihusishwa
kutaka kuikimbia klabu hiyo na kwenda
kujiunga na timu nyingine za ligi kuu , amepigwa
pini na klabu hiyo baada ya kuhakikishiwa
neema msimu ujao .
Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe.
Tambwe ambaye ni raia ya Burundi na ambaye
ndiye amekuwa msaada mkubwa wa timu hiyo
msimu huu baada ya kuifungia mabao 19
kweney ligi, amekuwa akihusishwa na taarifa
za kujiunga na Yanga na Azam FC lakini
ameelezwa kuwa kuna kundi moja , Championi
inafahamu kuwa ni Friends of Simba , linaweza
kuingia madarakani na kumtimizia mahitaji
yake yote .
Mwenyekiti wa Simba, Mhe; Ismail Aden Rage .
Akizungumza na Championi Jumatano ,
Tambwe alisema kuwa hivi karibuni uongozi
wa klabu hiyo umemtaka atulie na asiwe na
haraka za kutaka kuondoka katika kikosi hicho ,
kwani mambo mazuri yanakuja .
Alisema katika mazungumzo aliyofanya hivi
karibuni na Katibu Mkuu wa Simba , Ezekiel
Kamwaga, alimhakikishia kuwa mambo yake
yatakwenda sawa bila tatizo lolote hivyo
anatakiwa kuvumilia mpaka uchaguzi mkuu wa
klabu hiyo utakapomalizika na viongozi wapya
wakipatikana .
“Aliniambia hata kama nikiwa nyumbani
Burundi atakuwa akinijulisha kila kitu
kitakavyokuwa kinaendelea huku , hivyo nisiwe
na wasiwasi mambo yangu yatashughulikiwa,
kwani anaamini uongozi utakaoingia
madarakani, utakuja na mikakati mizuri zaidi
kwa kuwa anaamini wengi wao ni watu wenye
fedha .
“Kutokana na hali hiyo kwa sasa siwezi sema
kama nitaondoka Simba au nitabakia lakini kila
kitu kitajulikana hapo baadaye , acha
niwasikilizie kwanza viongozi hao , nimeelezwa
na mtu mwingine kuwa kuna kundi moja
linatwa Friends lina watu wenye uwezo sana
linaitaka timu nafikiri ni watu ambao
tutawezana,” alisema Tambwe ambaye
mkataba wake wa kuitumikia klabu hiyo
unamalizika mwakani .
Simba na Yanga wapigana vikumbo kumsajili kipa wa mtibwa.
SIMBA na Yanga zimeingia kwenye vita moja
ya usajili kwa mara nyingine baada ya kila
mmoja kuhitaji huduma ya kipa wa Mtibwa
Sugar, Hussein Shariff ‘Casillas’, kwa ajili ya
kuvitumikia vikosi vyao kwenye msimu ujao wa
ligi.
Vuguvugu hilo la usajili wa kipa huyo linakuja
baada ya timu zote mbili kuwa na matarajio ya
kupoteza makipa wao, hivyo kila timu inahaha
kutafuta wa kuziba pengo litakaloachwa wazi.
Mtu wa karibu na uongozi wa Simba alilieleza
Championi Jumatano habari hizo kwamba
mpaka sasa kipa aliye kwenye mahesabu ya
miamba yote hiyo miwili nchini ni kipa huyo
ambaye ameonyesha kiwango cha juu msimu
huu .
Chanzo hicho kilisema kwamba Yanga
itampoteza kipa wao, Ally Mustapha ‘Barthez’ ,
baada ya kuugomea uongozi kusaini mkataba
mpya huku Simba ikimpoteza Yaw Berko
ambaye kanuni mpya ya usajili inamtaka
kuondoka nchini kwa kuwa siyo raia wa nchi
hii.
“Berko hataweza kuongezewa mkataba Simba
kutokana na hali ya sheria mpya jinsi ilivyo na
huku Yanga pia Barthez kaugomea uongozi
kusaini mkataba mpya kutokana na vile
alivyosakamwa baada ya mechi ya 3 - 3 na
Simba, kwa hiyo hapo kila timu inahitaji mtu wa
kuziba pengo na ndipo kila mmoja akalitaja jina
la Casillas.
“Lakini sasa hii vita ipo chinichini kwa sababu
Simba hawajui kama Yanga inamtaka Casillas
wala Yanga pia hawajui kama Simba nao
wanamtaka kipa huyo , kwa hiyo kila mmoja
anapita njia yake kuangalia uwezekano wa
kumnasa, ” kilisema chanzo hicho .
Saturday, April 19, 2014
KUELEKEA BIG MATCH:SIMBA VS YANGA.updates zote click hapa
**Mzungu wa Yanga atinga mazoezini na jezi Nyekundu**
KATIKA hali ya kustaajabisha, Kocha Mkuu wa
Yanga, Hans van Der Pluijm, juzi alileta
sintofahamu baada ya kutinga mazoezini na
jezi yenye logo ya doti jekundu, ambayo ni
‘nuksi ’ Jangwani.
Mazoezi hayo yalifanyika kwenye Uwanja wa
Ununio, wakijifua kwa ajili ya mtanange wa
heshima dhidi ya watani wao Simba,
utakaopigwa leo kwenye uwanja wa Taifa Dar .
Mholanzi huyo alikuwa ametinga ‘full ’ jezi
nyeusi ya Klabu ya Feyenoord Rotterdam ya
nchini Uholanzi , inayotumia logo yenye doti
jekundu na nyeupe, ambayo ni kinyume na
miiko ya Yanga .
Ikumbukwe kuwa Yanga waliingia katika
mgogoro mkubwa na wadhamini wa Ligi Kuu
Bara, kampuni ya Vodacom , wakikataa kutumia
logo yenye doti jekundu kwa kile kilichoelezwa
na Baraza la Wazee kupitia katibu wao, Ibrahim
Akilimali, kuwa ni nuksi na kuongeza kuwa
katiba yao imeeleza kukataa rangi nyekundu
Jangwani.
Championi ilikuwa shuhuda katika mazoezi ya
Yanga, ambapo Mholanzi huyo hakuonekana
kujali, pengine hofu ikatawala labda wazee
hawajampa utaratibu na miiko ya klabu hiyo .
Feyenoord, ni moja ya timu zenye jina kubwa
nchini Uholanzi , ambayo mastaa wakubwa
akiwemo straika wa Manchester United , Robin
Van Persie, walipitia.
**CCTV kufungwa uwanjani**
KATIKA kuhakikisha ulinzi na usalama
unapatikana katika mechi ya leo Jumamosi kati
ya Yanga na Simba kwenye Uwanja wa Taifa,
jumla ya askari 400 wameandaliwa kwa ajili ya
kuweka usalama huku kukiwa na magari
mawili ya wagonjwa, yaani wale ambao
watazimia au kupata matatizo uwanjani hapo.
Mchezo huo wa watani wa jadi utapigwa leo
katika Uwanja wa Taifa ukiwa ni moja ya mechi
za kufungia msimu wa 2013/ 2014 ambapo
katika mchezo huo , mshindi wa pili ambaye ni
Yanga atakabidhiwa zawadi ya medali .
Akizungumza na Championi Jumamosi ,
Mtendaji wa Bodi ya Ligi , Silas Mwakibinga,
alisema wameandaa askari 400 na ‘Ambulance ’
mbili kwa ajili ya mchezo wa Simba na Yanga
huku ulinzi na usalama ukiwa wa hali ya juu .
Mwakibinga alisema kuwa wamejiandaa vyema
kabisa na michezo ya kufunga ligi kuu ambayo
yote itachezwa kesho katika viwanja
mbalimbali huku bingwa na mshindi wa pili
wakikabidhiwa zawadi zao kesho.
“Tumeandaa askari 400 kwa ajili ya usalama
katika mechi ya Simba na Yanga na ulinzi kwa
jumla umeimarishwa kila kona huku magari ya
kubebea wagonjwa tumeandaa mawili kwa
lolote litakalojitokeza .
“Kwa upande wa watu wa uwanja, wao
wamefunga ‘security ‘ kamera ( CCTV ) pale kwa
usalama zaidi na hiyo ni ya moja kwa moja si
kwa mchezo pekee wa kesho ( leo) , hivyo kila
kitu kinakwenda safi .
“Lakini kwa bingwa , atakabidhiwa zawadi yake
Chamazi ambazo ni kombe na medali za
dhahabu huku mshindi wa pili taifa yeye
atapewa medali zake pia ,” alisema
Mwakibinga.
**Friends of simba wamteka Okwi**
SAA chache kabla ya mechi ya watani , Yanga
dhidi ya Simba, kama kawaida vituko vinazidi
kuongezeka na mshambuliaji Emmanuel Okwi
anazidi kuwa tatizo .
Okwi alikuwa acheze mechi ya leo , akasusa
kwa kuwa anawadai Yanga dola 40,000 (Sh
milioni 64 ), lakini sasa Friends of Simba
wameingilia na kumteka mawazo zaidi kuwa
hana haja ya kucheza mechi ya leo ,
ataangushiwa mzigo wakipoteza.
Rafiki wa karibu wa Okwi amesema mara
nyingi mchezaji huyo amekuwa akijichimbia
katika hoteli anayoishi na hivi karibuni
alizungumza na memba wa kundi la Friends of
Simba linaloaminika kwa mipango ya kisoka na
kupewa ushauri kwamba hana sababu ya
kucheza mechi hiyo.
“Awali Okwi alikuwa apewe dola 20,000
ambazo ni nusu ya zile anazodai ili acheze ,
lakini baadaye mambo yakabadilika, ninafikiri
ametekwa mawazo na wale Friends of Simba.
“Unajua Friends wamerudi Simba, wanataka
kukiimarisha kikosi chao na ndiyo wametoa
msaada kuipeleka Simba Zanzibar na mmoja
wa mabosi wao ( Zacharia) Hans Pope ndiye
amelipa mshahara wa wachezaji wote maana
waligoma,” kilieleza chanzo kutoka Yanga .
“Kwa fitna wanajulikana , wameamua kupigilia
msumari Okwi asicheze kabisa. Wanajua
Simba haipati kitu lakini wanachotaka ni Simba
kutopoteza. ”
Juhudi za kumpata Okwi hazikuzaa matunda
kutokana na simu yake kupigwa zaidi ya mara
mbili bila ya majibu . Lakini memba mmoja wa
Friends of Simba kasisitiza kweli
walizungumza na Okwi lakini kwa lengo la
kumpa pole tu.
“Mimi si msemaji wa Friends of Simba, lakini
Okwi ni kijana wetu na tumezungumza naye
kumpa pole kutokana na matatizo ya fedha
anazodai na hajalipwa hadi leo , ubaya ni upi ?
“Msisahau, sisi ni ndugu zake na ndiyo
tulimleta Tanzania . Sasa hatuwezi kuwa
maadui, pia akipata matatizo tunaweza
kuzungumza naye au kumshauri tu,” alisema
akisisitiza kutoandikwa .
Mechi ya leo haiwezi kuzipa Yanga wala Simba
mabadiliko kwenye msimamo lakini ina nguvu
ya mechi ya watani , kila upande unataka
kushinda.
Wakati huohuo , Kocha Mkuu wa Yanga, Hans
van Der Pluijm, amefunguka na kusema
kamwe hafanyi kazi kwa kutegemea wachezaji
fulani wenye majina.
Van Der Pluijm amesema: “ Siku zote sifanyi
kazi kuangalia nani hayupo kikosini, labda
anaweza kutugharimu, nafanya kazi kwa
kuangalia nani ananifaa kikosini.
“Kazi yangu ni kuangalia kikosi nilichonacho
kinafanya vema kuelekea mchezo fulani , basi ,”
alisema kocha huyo wa zamani wa Feyenoord
ya Uholanzi .
Yanga itawavaa Simba leo bila nyota wengi,
wakiwemo Okwi mwenye mgomo baridi , Juma
Kaseja ( matatizo binafsi) , Juma Abdul (kadi
tatu za njano ) , Haruna Niyonzima, Said
Bahanuzi (wanaumwa) .
**Dida:Tambwe leo hapati goli ng'oo**
KIPA namba moja wa Yanga, Deogratius
Munishi ‘Dida ’, ameeleza kuwa katika mchezo
wa leo dhidi ya Simba, atahakikisha
mshambuliaji Amissi Tambwe hapati bao .
Mshambuliaji wa Simba, Amisi Tambwe.
Dida anatarajiwa kukaa langoni leo katika
mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu Bara msimu
huu dhidi ya watani wao wa jadi Simba kwenye
Uwanja wa Taifa jijini Dar .
Akizungumza na Championi Jumamosi , Dida
alisema atawapanga vizuri mabeki wake
kuhakikisha Tambwe hafungi bao lolote hata la
kuotea.
“Ninajua mchezo utakuwa mgumu lakini nina
imani mabeki wangu watanilinda vizuri na
kuhakikisha wanazuia kikamilifu mashambulizi
ya Simba na kutotoa nafasi kwa Tambwe
kufunga bao lolote .
Friday, April 18, 2014
DYLAN TOMBIDES FACTFILE. RIP
DYLAN TOMBIDES FACTFILE
March 8, 1994: Born in Perth, Australia.
2009: Joins West Ham aged 15.
2011: Diagnosed with testicular cancer.
September 2012: Makes West Ham debut.
April 18, 2014: Dies in London aged 20.
R.I.P
Pluijm:Tumejipanga kuiadabisha simba
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm,
amesema vijana wake wapo tayari kwa ajili ya
mchezo wa kesho dhidi ya wapinzani wao,
Simba na hana mchezaji yeyote aliyekuwa
majeruhi hadi sasa.
Yanga iliyoingia kambini juzi jioni kwenye Hoteli
ya Bahari Beach, Dar es Salaam ikiwa na
kikosi cha wachezaji 20, imepania kumaliza
msimu vizuri kwa kuifunga Simba ili kupoza
machungu ya kukosa ubingwa uliochukuliwa
na Azam FC katika dakika za mwisho.
“Nina uzoefu na michezo wa watani wa jadi,
huwa inakuwa migumu kwa kila timu kutokana
na kila timu kutaka kuonesha wapenzi,
mashabiki na wanachama wake kuwa wako
vizuri, Simba ni timu nzuri, lakini bado sioni
kikwazo cha kutuzuia tusiibuke na ushindi
katika mchezo huo,” alisema kocha huyo
Mholanzi.
Van Pluijm alisema vijana wake wanazidi
kuonesha mabadiliko makubwa kiuchezaji,
mafunzo yake wanaonekana kuyaelewa vizuri
hivyo kikubwa anaomba waendelee kuwa
katika hali nzuri kuelekea siku ya mchezo na
ana matumaini kitaibuka na ushindi kesho.
“Nina matumaini makubwa sana na wachezaji
waliopo kambini ambao kutokana na mbinu
nilizowapa wanaweza kuwafurahisha
mashabiki wa Yanga na kusahau baadhi ya
watu ambao watakosekana kwenye mchezo
huo,” alisema Van Pluijm.
Wachezaji 20 walioingia kambini kujiandaa na
mechi hiyo ya kesho dhidi ya mahasimu wao,
Simba ni makipa Deogratias Munish “Dida” na
Ally Mustafa “Barthez” kwa upande wa mabeki
ni Juma Abdul, Mbuyu Twite, Oscar Joshua,
Ibrahim Job, Rajab Zahir, Kelvin Yondani na
Nadir Haroub “Cannavaro.”
Viungo ni Frank Domayo, Hassan Dilunga,
Salum Telela, Hamis Thabit na Nizar Khalfani
wakati safu ya ushambuliaji wapo Didier
Kavumbagu, Mrisho Ngasa, Jerson Tegete,
Hamisi Kiza, Hussein Javu na Simon Msuva.
Kocha huyo alisema baada ya kushindwa
kutwaa ubingwa, lengo lake ni kuhakikisha
wanashinda mchezo huo ili kumaliza msimu
huu kwa kuwafunga watani zao Simba ambao
wamekuwa na wakati mgumu msimu huu
kutokana na kushika nafasi ya nne hadi saa.
Azam yatoa ofa,mashabiki wataingia BURE Azam complex kwenye mechi yake na jkt ruvu
UONGOZI wa mabingwa wapya wa soka
Tanzania Bara, Azam FC unatarajia
kutowalipisha kiingilio mashabiki katika
mchezo wa kesho dhidi ya JKT Ruvu kwenye
Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.
Katibu Mkuu wa timu hiyo, Nassor Idrissa
alisema sababu ya kufanya hivyo ni kuwapa
fursa mashabiki wao kuingia kwa wingi ili
kushuhudia timu yao ikikabidhiwa kombe la
ubingwa huo ambalo wanalitwaa kwa mara ya
kwanza tangu ilipopanda kucheza Ligi Kuu.
“Natarajia kukutana na viongozi wenzangu
halafu tuzungumze na Mwenyekiti wa Bodi ya
Ligi, Silas Mwakibinga tuone kama tunaweza
kuruhusiwa kuwaingiza mashabiki wetu bure
kwenye mchezo wetu wa mwisho dhidi ya JKT
Ruvu, ili washuhudie timu yao ikikabidhiwa
kombe,” alisema Idrissa.
Idrissa alisema kama yangekuwa mamlaka
yao wenyewe na siyo sheria za Shirikisho la
Soka Tanzania (TFF), wangechukua uamuzi
wa moja kwa moja ya mashabiki kutolipa ili
kuwashukuru kwa sapoti waliyoipa timu yao
tangu mwanzoni mwa msimu hadi siku hiyo ya
mwisho ya kukabidhiwa kombe.
Kwa upande wake, Mwakibinga alisema
endapo Azam FC itataka mashabiki wasilipe
kesho, inatakiwa kukutana na Bodi yake na
kuzungumza ili kujua idadi ya mashabiki
watakaoingia na viingilio vyake.
“Sheria inawaruhusu Azam ila wanachotakiwa
kufanya ni kuja kuonana na viongozi wa Bodi
ya Ligi ili tujadiliane utaratibu tutakao tumia
ikiwemo kujua idadi ya mashabiki
watakaoingia na viingilio ambavyo
vimepangwa kwa ajili ya mchezo huo,” alisema
Mwakibinga.
Alisema lengo la kufanya hivyo ni kutaka
kufahamu idadi kamili ya tiketi ambazo
wataziandaa kwa mchezo huo na mapato
yatakayopatikana ili kufidia garama za
maandalizi zilizofanywa na Bodi hiyo.
Endapo hilo litafanikiwa, Azam FC watabidi
kuilipa Bodi ya Ligi zaidi ya Sh milioni 42
kutokana na kiingilio cha Sh 10,000 kwa
jukwaa kubwa ambalo lina uwezo wa kubeba
watazamaji 150 itaingiza Sh milioni 150 huku
majukwaa mengine ya mzunguko ambayo
kiingilio chake kwa kawaida huwa ni Sh 5,000,
itaingiza Sh 2,750,000. Uwanja una uwezo wa
kuchukua mashabiki 7,000.
J.K haipa tano Azam fc
RAIS Jakaya Kikwete amesema klabu ya Azam
FC inajitahidi katika uwekezaji wa soka kwa
vijana na kuitabiria kufika mbali katika soka
Afrika.
Kauli yake imekuja siku chache baada ya klabu
hiyo ya Chamazi nje kidogo ya Jiji la Dar es
Salaam, kutwaa ubingwa wa Tanzania Bara
kwa mara ya kwanza tangu ianzishwe mwaka
2007.
Rais Kikwete alisema hayo Ikulu, Dar es
Salaam juzi katika mahojiano maalumu na
kituo cha televisheni cha TBC1, mali ya Shirika
la Utangazaji Tanzania (TBC), yaliyohudhuriwa
pia na waandishi wa habari wa vyombo vingine
kuhusu miaka 50 ya Muungano.
Alisema hayo alipojibu swali la mwandishi
aliyetaka kujua maoni yake kuhusu maendeleo
ya michezo nchini.
“Tatizo letu ni menejimenti ya soka katika
klabu zetu. Mfano, Yanga na Simba
wangewekeza katika timu za watoto wa umri
mbalimbali na kuwa na utulivu, zingepiga hatua
kubwa,” alisema Rais Kikwete.
Alisema klabu inayojitahidi kuwekeza katika
soka nchini ni Azam, ambayo imewekeza kwa
vijana.
“Naamini Azam itakuwa timu kubwa Afrika kwa
sababu wana A,B,C za kuendeleza michezo,”
alisema.
Amesema klabu za Yanga na Simba, haziishiwi
na migogoro na migogoro hiyo imezorotesha
maendeleo ya soka nchini. Alisema timu hizo
maarufu nchini, zimekuwa zikipokezana
migogoro, yaani ukiisha Yanga, unahamia
Simba.
Rais Kikwete alisema Tanzania, watu
hawawekezi kwenye soka, bali wanawekeza
kwenye migogoro na mfano wa wanaowekeza
kwenye migogoro ni klabu za Yanga na Simba.
Rais Kikwete alisema kama Yanga na Simba,
zingekuwa na utulivu, zingewekeza kwa
wachezaji, ikiwemo kuendeleza timu za watoto
wa umri mbalimbali, hivyo kusonga mbele kwa
kasi. Mbali na soka, Rais alisema nchi
haijafanya vizuri katika riadha, netiboli, ngumi
na michezo mingine.
Alisema kila mara anapozungumzia suala la
michezo, suala hilo humpa uchungu. Alisema
tangu alipoingia madarakani, alijitahidi kusaidia
sekta hiyo, lakini bado haijawa na mafanikio.
Alisema katika hotuba yake ya mwaka 2005,
aliahidi mambo kadhaa, ikiwemo kuajiri kocha
wa timu ya taifa ya soka, na kweli alifanya
hivyo kwa kumuajiri Marcio Maximo.
“Niliwaambia kuwa miye nitaajiri kocha, nyie
mumhudumie kwa mahitaji mengine kama gari.
Nimefanya hivyo katika michezo mingine kama
netiboli, ngumi na riadha,” alifafanua Rais
Kikwete.
Alisema tatizo kubwa, lililopo katika sekta ya
michezo ni viongozi kushindwa kutimiza
mahitaji mengine ya makocha wa taifa, mfano
kuwapatia usafiri (magari).
Alilitaja tatizo jingine kubwa ni viongozi wa
michezo nchini, kushindwa kuwekeza kwenye
klabu zao, mfano kuwekeza kwa wachezaji.
Alisema timu za Ulaya zimepiga hatua kubwa,
kutokana na kuwekeza kwa wachezaji.
“Timu kubwa duniani kama Barcelona
zimewekeza kwa wachezaji hivyo na sisi
tuwekeze kwa wachezaji,” alisema rais.
Niyonzima: Ushindi lazima dhidi ya simba
KIUNGO wa kimataifa wa Rwanda anayecheza
Yanga, Haruna Niyonzima amesema hana
presha na kikosi kilichopo kwani ana uhakika
lazima kitoke na ushindi katika mechi dhidi ya
Simba itakayochezwa kesho kwenye Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam.
Niyonzima hajacheza mechi tatu za Ligi Kuu
dhidi ya Kagera Suger, JKT Ruvu, Oljoro JKT
na pia kuna uwezekano wa kutocheza mechi
hiyo dhidi ya Simba kutokana na kusumbuliwa
na homa ya matumbo.
Akizungumza na gazeti hili jana, Niyonzima
alisema kikosi kilichopo kina uwezo wa
kushinda mabao mengi, kwa vile wachezaji
wote ni wakali hata asipokuwapo yeye.
“Ninakiamini kikosi chetu ni kikali, hivyo
lazima tuondoke na ushindi, mimi sitakuwepo
lakini waliopo ni wazuri, watafanya vizuri, na
kuondoka na heshima,” alisema Niyonzima
anayejiuguza nyumbani kwake.
Alisema Simba wamekuwa wakijitapa kwa
maneno kila mwaka, lakini awamu hii Yanga
lazima wawashinde, kutokana na kikosi
kilichopo kucheza kwa kujiamini na juhudi
nyingi hivyo ni rahisi kushinda.
Akizungumzia afya yake, Niyonzima alisema
kwa sasa anaendelea vizuri na hali yake
imeimarika kiasi. Licha ya kuimarika hana
uhakika kama ataendelea kukipiga tena katika
msimu ujao.
“Kwa msimu ujao sifahamu, lakini tusubiri
tutajua, tuombe Mungu tumalize msimu huu
salama,” alisema Niyonzima.
Yanga na Simba zote hazitafuti nafasi ya
kushinda taji kwa sababu tayari bingwa
alishatangazwa toka wiki iliyopita ambao ni
Azam FC isipokuwa kila mmoja anasaka
heshima ili kupunguza utani.
Wakati huo huo, Msemaji wa Yanga, Baraka
Kizuguto alisema tayari wachezaji 20
wameingia kambini juzi kwenye Hoteli ya
Bahari Beach kwa ajili ya maandalizi ya mechi
hiyo ili kuja na nguvu ya kusaka ushindi.
Wednesday, April 16, 2014
Arsenal mwendo mdundo
West Ham ndio walioanza kufunga bao la kwanza,
kupitia kwa Matt Jarvis kunako dakika ya 40 ya
kipindi cha kwanza .
hata hivyo furaha ya West ham ilidumu kwa dakika
nne tu kwani hata kabla kivumbi hakijatua Lukas
Podolski aliisawazishia Arsenal na kuwapa the
gunners fursa ya kusitisha msururu wa matokeo
duni .
Ganga ganga ya mapumzikoni ilipelekea vijana wa
Arsene Wenger kufunga bao la pili na kuongoza kwa
mara ya kwanza katika mechi hiyo kupitia kwa
Olivier Giroud.
Masaibu ya West ham yalizidi Podolski alipofunga
bao la tatu na ushindi na kuisaidia Arsenal kuipiku
Everton katika nafasi ya nne katika jedwali la ligi
kuu ya Uingereza..
Hata hivyo Wenger atasubiri na kuomba Everton
ikunguwae dhidi ya Crystal palace katika mechi yao
itakayochezwa baadaye leo jioni.
Man City Inakungutana na Sunderland katika mechi
nyengine ya katikati ya wiki..
Saturday, April 12, 2014
Arsenal yatinga fainali kombe la FA.
Arsenal imefanikiwa kuingia fainali baada ya kushinda kwa penati 4-2 dhidi ya wigan hii ni baada ya kutoshana nguvu ya goli 1-1 katika dakika 90 za kwanza na dakika 30 za mda wa nyongeza .Je hii inaweza ikawa futa machozi ya washika bunduki hawa kuinua ndoo baada ya mda mrefu wa ukame???? mimi na wewe Tusubiri fainali.
Mabingwa wa kombe la dunia la watoto wa mtaani wazawadiwa fedha
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewazawadia
washindi wa Kombe la Dunia la Watoto wa
Mitaani Sh 500,000 kila mchezaji, huku
akiwaongezea kidogo wachezaji watatu
waliong’ara nusu fainali na fainali.
Timu hiyo ya watoto wenye umri chini ya
miaka 16, ilipangwa Kundi la 2 pamoja na
Argentina, Nicaragua, Philippines na Burundi na
kulikuwa na makundi matatu.
Tanzania iliingia nusu fainali kwa kuwa mshindi
wa pili na pia kumenyana na Marekani na
kuichapa mabao 6-1 na baadaye kuitoa
Burundi kwa mabao 3-1.
Pinda alitangaza zawadi hiyo nyumbani kwake
mjini Dodoma jana, alipokutana na washindi
hao kwa chakula cha mchana na kuwapongeza
kwa kuitangaza Tanzania vyema.
“Mmetupa heshima kubwa sana na nimeona
tusiishie kwa kuwaona bali mpitie katika Bunge
Maalumu wajumbe watafurahi kuwaona.
Changamoto mliyotupa ni kubwa sana kwangu
binafsi, kwa viongozi na Wizara,” alisema
Waziri Mkuu Pinda.
Wachezaji walioongezewa kidogo zaidi ya Sh
500,000 ni Kipa Bora, Emmanuel Chaka,
aliyepewa kombe na mfungaji wa mabao
manne katika nusu fainali dhidi ya Marekani,
Michael Simon.
Mwingine aliyeongezewa zawadi ni mfungaji
wa mabao yote matatu ya fainali dhidi ya
Burundi, Frank Willium. Kabla ya kuanza
kuzungumza, Pinda alitoa nafasi kwa mmoja
wa watoto hao, Majuto Ismail, aeleze hali
ilivyokuwa katika michuano hiyo mpaka
wakafikia mafanikio hayo.
Majuto aliyecheza katika michuano iliyopita
Afrika Kusini na kuwa washindi wa pili na
katika michuano hii, alikwenda kama Meneja,
alisema walipofika Brazil katika Jiji la Rio de
Janeiro, walikuwa timu ya sita kufika.
Mashindano yalipoanza alisema walicheza kwa
kujituma na walikuwa na nidhamu nzuri kwa
kufuata sheria, kiasi ambacho kama
kungekuwa na zawadi ya nidhamu
wangepewa.
Baada ya kushinda, Majuto alisema
walikwenda kutembelea vivutio vya Brazil,
ikiwemo wanakoishi watoto wa mazingira
hatarishi.
Majuto aliyesema kuwa hapendi kuitwa mtoto
wa mitaani kwa kuwa mtaa hauzai, alitakiwa
na Pinda kufafanua hilo eneo walilokwenda
linafanana na eneo gani Tanzania, na akajibu
linafanana na Mwanza ambako yeye amekulia
katika mazingira magumu.
Akifafanua kuhusu dhana ya maisha ya watoto
wa mazingira magumu katika nchi
zilizoendelea na nchi masikini, Pinda alisema
hata jina Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani
halipendi, lakini ndivyo linavyoitwa.
Alifafanua kuwa watoto hao ni ambao
hawajakua katika mazingira nadhifu na kupata
mapenzi ya baba na mama. Alisema pamoja na
mazingira hayo, watoto hao wametoa funzo
kuwa hata katika mazingira magumu,
wameonesha karama zao na kuleta heshima
kwa Taifa na kazi iliyopo ni kukuza karama
zao.
“Msikate tamaa kwa kuitwa hivyo, inaonekana
kama vile tusi, lakini ni aina ya uhalisia ambao
mmeutumia kuleta kitu kizuri,” alisema Pinda
na kuongeza kuwa atawasiliana na uongozi wa
Mkoa wa Mwanza wawape mapokezi mazuri
na yeye akitembelea mkoa huo, atakwenda
kuwaona.
Katika hatua nyingine kabla ya kuonana na
Pinda, wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba
waliamua kuchangia timu hiyo ya watoto wa
mitaani.
Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la
Katiba, Samia Suluhu Hassan, alisema jana
wataandaa utaratibu kwa wajumbe wa Bunge
hilo wanaopenda kuwachangia watoto hao
kufanya hivyo.
Alisema hayo alipokuwa akijibu hoja ya
Mbunge wa Viti Maalumu, Diana Chilolo,
aliyeomba wajumbe wa Bunge Maalumu,
wawachangie watoto hao waliopeperusha
vyema Bendera ya Tanzania nchini Brazil.
Watoto hao walifika jana katika Bunge
Maalumu na kutambulishwa kuwa wageni wa
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na
Michezo, Dk Fenella Mukangara.
Naye Naibu Waziri wa Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia
alifananisha washindi hao na timu ya Mathare
United ya Kenya ambayo iliundwa na watoto
wa mitaani na baadaye kufanikiwa kuchukua
ubingwa wa Afrika Mashariki.
Alisema timu hiyo ilitunzwa na kutoa wachezaji
wazuri akiwemo Victor Wanyama ambaye leo
anacheza katika ligi kubwa duniani, Ligi Kuu ya
England katika klabu ya Southampton.
Katika hatua nyingine, Rais Jakaya Kikwete
ameipongeza timu ya Watoto wa Mitaani ya
Tanzania kwa kutwaa Kombe la Dunia jijini Rio
de Janeiro, Brazil.
“Mmetuwakilisha vyema, ninawapongeza
sana, pia mmewapa moyo watoto wengine
wote wenye vipaji maalumu, lakini
hawakubahatika kuwa na makazi rasmi,
hongereni sana,” alisema Rais Kikwete.
“Hongereni kwa kujituma na kucheza kwa
ustadi,” alisema Rais na kuwaasa watoto hao
“ongezeni bidii, nidhamu na mazoezi ya
kutosha na hakika mtafanikiwa zaidi na
kulibeba jina la Tanzania mbali zaidi ya hapa
katika ulimwengu wa soka duniani, kwani
hakuna kisichowezekana kama mtazingatia
maelekezo, mafunzo, bidii na nidhamu ya yote
mnayofanya.”
Matokeo yaleo EPL
Crystal Palace 1-0 Aston Villa
Fulham 1-0 Norwich City
Southampton 0-1 Cardiff City
Stoke City 1-0 Newcastle United
Sunderland 0-1 Everton
West Bromwich Albion 3-3 Tottenham
Hotspur
Friday, April 11, 2014
WENGER: Nina hasira na ushindi, sasa naenda kuchukua FA.
KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger amesema
ni matumaini yake kuwa anaenda kumaliza kiu
ya kukosa ushindi kwa muda mrefu kwa
kutwaa Kombe la FA.
Wenger alisema ikiwa ni mwaka wa tisa sasa
bila ya kuchukua kombe, anaona kuwa msimu
huu ni muda mwafaka wa kuchukua kombe
hilo.
Alisema ana imani kuwa katika mchezo wake
wa leo wa nusu fainali dhidi ya Wigan, ushindi
ndio kupaumbele kikubwa na amekuwa
akisisitiza kwa kiasi kikubwa suala zima la
ushindi katika ligi hiyo.
Baada ya kutolewa kwenye kinyang'anyiro cha
kuwania Ligi ya Mabingwa Ulaya, sasa nia
yake kubwa ni kuhakikisha kuwa anachukua
moja kati ya mataji ya ndani.
“Ligi ya Mabingwa ndio ilikuwa kila kitu kwetu
na hadi sasa bado naumia kukosa ubingwa
huo, lakini kwa sasa mimi pamoja na timu
yangu nzima tunahamishia harakati zetu za
ushindi kwa michuano ya ndani,” alisema
Wenger ambaye amekuwapo Arsenal kwa
miaka 18 sasa.
“Najua kila mmoja aliyepo kwenye Ligi ya
England anakuwa na shauku ya kuhakikisha
kuwa anashinda na kuibuka na ushindi na ndio
azma yetu kwa sasa,” alisema Wenger.
“Usishangae kuona kwa miaka tisa sina kombe
lolote, sasa ndio ujue ni kwa kiasi gani
ninakuwa na hasira ya ushindi kwa sasa na
nipo tayari kuchukua Kombe la FA,” alisema
Wenger.
Alisema nia yao kwa sasa ni kushinda
mashindano na hasa ikizingatiwa kuwa
hawana mchakato wowote wa kuwania Ligi ya
Mabingwa Ulaya.
Aliongeza kuwa wanarejea Wembley wakiwa
wamejikamilisha na kusahau yote yalyotokea
kwenye Kombe la mwisho la FA, Arsenal
walichukua mwaka 2005 baada ya kuitoa
Manchester United katika fainali.