Friday, June 27, 2014

mla nyama za watu uwanjani huyu hapa

ni luis  suarez..

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis
Suarez amefungiwa mechi tisa na shirikisho la
kandanda duniani Fifa baada ya kupatikana na hatia
ya kumng'ta mlinzi wa timu ya Italia Giorgio Chiellini
kwenye mechi yao ya kombe la dunia nchni Brazil.

No comments:

Post a Comment