Saturday, May 17, 2014

Atletico Madrid ,mfalme La liga

TIMU ya Atletico Madrid imetwaa kombe la La
Liga baada ya sare ya 1 - 1 dhidi ya Barcelona
kwenye Uwanja wa Nou Camp. Kwa ushindi
huo wamefikisha pointi 90 wakati Barcelona
wakiwa na pointi 87 sawa na Real Madrid
ambao wamemaliza wakiwa nafasi ya tatu.
Mara ya mwisho kutwaa kombe hilo ilikuwa
1996!

No comments:

Post a Comment