Arsenal wametwaa kombe la FA baada ya
kukaa miaka tisa bila kombe lolote . Wametwaa
ndoo hiyo kwa kuifunga Hull City bao 3 -2 katika
muda wa nyongeza baada ya sare ya 2- 2
katika muda wa kawaida kwenye Uwanja wa
Wembley usiku huu .
Wafungaji Arsenal: Carzola dakika ya 17 ,
Koscielny dakika ya 71 na Ramsey dakika ya
109 wakati ya Hull City yakifungwa na Chester
dakika ya 4 na Davies dakika ya 8 .
No comments:
Post a Comment