Saturday, April 12, 2014

Arsenal yatinga fainali kombe la FA.

Arsenal imefanikiwa kuingia fainali baada ya kushinda kwa penati 4-2 dhidi ya wigan hii ni baada ya kutoshana nguvu ya goli 1-1 katika dakika 90 za kwanza na dakika 30 za mda wa nyongeza .Je hii inaweza ikawa futa machozi ya washika bunduki hawa kuinua ndoo baada ya mda mrefu wa ukame???? mimi na wewe Tusubiri fainali.

No comments:

Post a Comment