Wednesday, April 9, 2014

MECHI YA AZAM VS RUVU YASOGEZWA

Mechi ya Azam FC dhidi ya Ruvu
iliyokuwa ilikuwa ichezwe leo kwenye
Uwanja wa Mabatini mjini Mlandizi,
imeahirishwa. mechi hiyo imeahirishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha katika eneo hilo.

Taarifa kutoka Kamati ya Ligi zinaeleza
kuwa mvua kubwa na upepo
zimesababishwa kuahirishwa kwa mechi
hiyo.

Bado haijaelezwa kama itachezwa kesho au itapangiwa siku nyingine.

No comments:

Post a Comment