Thursday, April 24, 2014

klopp awagomea MANCHESTER UNTD

kocha wa dortimund kloop amekemea vikali dondoo za waandishi wa habari wa uingereza kwa uvumi wao wa yy kujiunga na manchester untd .. na amesema hana mpango huo... mkataba wake unaisha 2018 kwa sasa.

je hataki au kiti cha moto?

No comments:

Post a Comment