Saturday, February 15, 2014

YANGA HATUA YAPILI ILEEEEEEEE...!!!

Wawakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya
Klabu Bingwa Barani Afrika timu ya Young
Africans leo imeweza kufuzu raundi ya pili ya
mashindano hayo kufuatia kuibuka na ushindi
wa mabao 5-2 dhidi ya wenyeji timu ya
Komorozine de Domoni katika mchezo
uliofanyika jioni ya leo katika dimba la Uwanja
wa Sheikh Said Ibrahim Mitsamihuli Comoro.

No comments:

Post a Comment