Wednesday, December 31, 2014
Saturday, November 29, 2014
Arsenal vs westbrom
Full team: Martinez, Chambers, Mertesacker, Koscielny, Monreal, Flamini, Ramsey, Cazorla, Welbeck, Alexis, Giroud
Subs: Macey, Gibbs, Bellerin, Rosicky, Oxlade-Chamberlain, Campbell, Podolsk
Friday, November 28, 2014
Tuesday, November 25, 2014
Huyu Kurudi tena arsenal?
Baada ya safu ya ulinzi kuwa mbovu kuna umbea kwamba yule beki wa arsenal thomas vermaleen akarudi tena kwa mkopo kuokoa jahazi letu.
Monday, November 24, 2014
Mashabiki wapoteza matumaini na wenger
Je unajua mashabiki zaid ya 87% wamepoteza matumaini na kocha baada ya vipigo vya mara kwa mara...
Ingia hapa angalia
http://www.footballfancast.com/football-news/arsenal-in-crisis-as-shocking-vote-confirms-fan-have-lost-faith-in-their-manager
Friday, June 27, 2014
mla nyama za watu uwanjani huyu hapa
ni luis suarez..
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis
Suarez amefungiwa mechi tisa na shirikisho la
kandanda duniani Fifa baada ya kupatikana na hatia
ya kumng'ta mlinzi wa timu ya Italia Giorgio Chiellini
kwenye mechi yao ya kombe la dunia nchni Brazil.